Hbr pple,
vijana wengi siku izi tunatumia mda mwingi kuwaza ngono na mahusiano,hata kwenye suala la majadiliano kwenye mitandao ya kijamii wengi wetu tutashabikia mijadala inayohusu mapenzi zaid kuliko masuala mengineyo ya kutujenga,,nafikiri vjana tubadilike ,tuwe na discipline ktk mahusiano then pia tutake siriaz masuala mengine ya kutusaidia na kutujenga kiuchumi pia,,.
Wengi wetu mtaona hata hi thread inaboa bt let us thnk beyond the box
vijana wengi siku izi tunatumia mda mwingi kuwaza ngono na mahusiano,hata kwenye suala la majadiliano kwenye mitandao ya kijamii wengi wetu tutashabikia mijadala inayohusu mapenzi zaid kuliko masuala mengineyo ya kutujenga,,nafikiri vjana tubadilike ,tuwe na discipline ktk mahusiano then pia tutake siriaz masuala mengine ya kutusaidia na kutujenga kiuchumi pia,,.
Wengi wetu mtaona hata hi thread inaboa bt let us thnk beyond the box