LE GAGNANT
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 1,241
- 251
Lakini mbona sijawahi kuwasikia watu weupe wakijinadi kama weusi? Oooh! Black is beauty! Sasa na weupe waseme nini? White is ......
Weupe ni kila kitu jamani..weupe ni an added advantage kwa almost kila kitu. Sorry kama nitakuwa nimeudhi watu!
Umeoa siku hz, Hongera hata wanawake siku hz wanaoa?mimi mke wangu ni mweupe.
rangi zote bomba...
mkwe we si chokoleti. Lol.
Lakini mbona sijawahi kuwasikia watu weupe wakijinadi kama weusi? Oooh! Black is beauty! Sasa na weupe waseme nini? White is ......[/QUOTE]
Umeoa siku hz, Hongera hata wanawake siku hz wanaoa?
Hakuna mtu mweupe duniani. Hebu angalia rangi ya sukari, chumvi, maziwa au chokaa halafu niambie umewahi kumuona mtu "mweupe". Hebu tuacheni hizi kasumba zisizo na tija!
Mi huwa sishangai nikimwona msichana amebabuka kwa mkorogo,,ki ukweli, weupe ni uzuri tosha.
Embu chukulia huyu mdada hapa chini kama angekua mweusi tiii,,nani angemtambua Tanzania na hata kupewa tenda ya kutangaza matangazo?
View attachment 41267View attachment 41268View attachment 41269
Diys!: mpigieni kura WARDA WALID ktk swahili fashion week kama... stylish female personality