figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,491
- 54,884
BBC SwahiliChama tawala cha kikomunistinchini China kitafaya mkutanowake mkuu wa baada ya miaka mitano kuanzia tarehe nane mwezi Novemba kufanyamageuzi makubwa serikalini ambayo yatawezesha kuwachagua viongozi watakaoongoza nchi hiyo kwa miaka kumi ijayoKongamano la chama linafanyika kumchagua rais wakwanza atakayehudumu kwa miongo miwili. Viongozi wa sasa watangatuka mamlakani akiwemo rais wa nchi hiyo pamoja waziri mkuu na kustafisha viongozi walio zidisha miaka 68. mia