Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,377
- 58,384
anahitajiushauri
"Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 32, ninafanya kazi hapa Dar es Salaam. sasa tatizo lililonileta hapa leo ni kwamba ningependa sana kuolewa na ninaomba Mungu anipe Mume mwema. Nimekuwa na mahusiano mazuri tu na wanaume lakini inapofikia wakati ukigusia masuala ya ndoa inakuwa sumu.Yaani tunakorofishana mpaka kufikia hatua ya kutishia kuwachana.
Kwa sasa nina mwanaume na tumekuwa kwenye uhusiano kwa muda wa mwaka mmoja sasa, lakini nikimueleza masuala ya ndoa ndio inakuwa ugomvi na anaona kama vile namghasi nainafikia hatua tunakorofishana kabisa.
Zake ni kunipiga danadana tu nakuniambia nimpe muda, mimi umri unaenda si unajua tena mwanamke? Yaani hanishirikishi kwenye mipango yake hivyo nashindwa kuelewa. Nikiuliza Muda upi unahitaji? na kwanini tusishirikiane kimawazo?
Nafikiria kuachana nae lakini najiuliza nitaachana na wangapi? Yaani ninapata wakati mgumu sana na ninashindwa kuelewa, je inakuaje mwanamke anaweza kukubaliana na mwenzie vizuri hadi kufikia hatua ya kufunga ndoa?
Au labda mimi napata wanaume ambao hawako tayari kuwa ndani ya ndoa? Naomba mnishauri nifanye nini ili niweze kujua kama ana nia ya kweli au ndio nimechemsha tena!"
USHAURI
"Ni mwanamke mwenye umri wa miaka 32, ninafanya kazi hapa Dar es Salaam. sasa tatizo lililonileta hapa leo ni kwamba ningependa sana kuolewa na ninaomba Mungu anipe Mume mwema. Nimekuwa na mahusiano mazuri tu na wanaume lakini inapofikia wakati ukigusia masuala ya ndoa inakuwa sumu.Yaani tunakorofishana mpaka kufikia hatua ya kutishia kuwachana.
Kwa sasa nina mwanaume na tumekuwa kwenye uhusiano kwa muda wa mwaka mmoja sasa, lakini nikimueleza masuala ya ndoa ndio inakuwa ugomvi na anaona kama vile namghasi nainafikia hatua tunakorofishana kabisa.
Zake ni kunipiga danadana tu nakuniambia nimpe muda, mimi umri unaenda si unajua tena mwanamke? Yaani hanishirikishi kwenye mipango yake hivyo nashindwa kuelewa. Nikiuliza Muda upi unahitaji? na kwanini tusishirikiane kimawazo?
Nafikiria kuachana nae lakini najiuliza nitaachana na wangapi? Yaani ninapata wakati mgumu sana na ninashindwa kuelewa, je inakuaje mwanamke anaweza kukubaliana na mwenzie vizuri hadi kufikia hatua ya kufunga ndoa?
Au labda mimi napata wanaume ambao hawako tayari kuwa ndani ya ndoa? Naomba mnishauri nifanye nini ili niweze kujua kama ana nia ya kweli au ndio nimechemsha tena!"
USHAURI