Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 10,876
- 2,745
Kiukweli inatia huruma. Jamaa ana majukumu mengi na afya yake ndo hivyo. Sauti imempotea, nuru imemtoweka, uchangamfu umepotea. Mbele kuna kazi
Mhhh wewe.........Hebu tuondolee uchuro hapa ebo!!!!!!!!!!..........Ushakuwa Sheikh Yahya mara hii
Sipendi sana kuchangia 'sredi' za aina hii(za kampeni/uchaguzi0 lakini kauli zako hizi nzio zimenifanya nichangie aisee....
-Kikwete anatumia haki yake ya kikatiba kugombea uprezidaa bana,hayo mambo ya afya yake anayajua mwenyewe ndo maana akajitosa na kuendelea na kampeni za uchaguzi....Kwa nini unamuita ni mjinga na ana kburi..............kuwa na adabu bana,eti anapingana na afya yake!!!!!,suala la afya yake limeshaongelewa hapa na hata ugonjwa unaomsumbua(kwa mujibu wa madaktari wake na CCM) ni sukari kushuka unaweza ukampata yeyote na wakai wowote(hata wagombea wengine) subiri kampeni ziishe uchaguzi ufanyike ndo uanze kuyaongea haya.............KIKWETE yupo kwenye kampeni na anatumia muda mwingi sana katika safari na kuhutubia mikutano ya hadhara so si ajabu kumuona kabadilika wajihi..........Ni hali ya kawaida kaika kampeni
-Suala la kushinda ama kutoshinda kwa mgombea yeyote tuwaachie wananchi hiyo tarehe 3 Oktoba(ni sawa na mpira wa miguu,mshindi wa taji hupatikana baada ya dk 90,au 120 au kwa penati,zamani hata kwa shilingi)....Hapo ndo tutajua mbivu ni zipi na mbichi ni zipi.............Ni kigezo kipi kimekufanya uamini kwamba KIKWETE hatashinda ei 'baada ya kutanguliza familia yake na ubinafsi'!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
-Mama Salma,Ridhwani ama mtu yeyote kutoka familia ya KIKWETE anao uhuru wa kumkampenia KIKWETE(kwa taratibu walizojiwekea wao CCM)...............Ni sawa na Bill Clinton na bintiye cHELSEA WALIVOKUWA WAKIZUNGUKA us nzima kumkampenia Hilary wakati akitaka ridhaa ya wana Democrats kumteua awe mgombea urais wa US...CCM tayari wameeleza kwamba hizi ni gharama zao kama chama na si hao tu kuna makada na ndugu kibao wamezunguka Tanzania nzima.....Huu ni mkakati wa ushindi wa CCM ambao ungeweza kubuniwa na kutumiwa na chama kingnie chochote kile......Ndo maana utaona vyama vya CUF na CCM wagombea urais na running mates wao hawazunguki pamoja,wanaenda sehemu tofauti kwa lengo la kuwafikia waTanzania wengi zaidi na kupata kura nyingi....
-Nani kakwambia atafia kwenye kampeni aiseee...KIKWETE bado ana sifa ya kikatiba ya kugombea kipindi kimoja zaidi,hayo mengine ya utendaji kazi tuwaachie waTanzania waamue kupitia uchaguzi.......Mengine tumuchie Sheikh Yahya & Co......................................................Kwa heri ya kuonana
Mweledi Balantanda. Umesema hapo ktk bold kuwa Bill na Chelsea walimkampeinia Hilary kuomba ridhaa ya kupitishwa kugombea. Huwa inaishia hapo. Likifika suala la uraisi wa nchi ni CHAMA kuhusika kwa mtiririko muktadha. Huwezi kuniambia kwamba RIZ1 na SALMA ni vinara wa kumnadi mgombea wa CCM. ina maana chama hakina mechanism yeyote zaidi ya hao wawili? Kama si maslahi kwa famili ni nini basi? inaonesha mgombea na familia yake hawakiamini chama kwamba kinaweza kusimama naye mpaka ashinde? Kuna methali inasema whats goes around comes around just as to say mwenda tezi na OMO marejeo NGAMANI.Mhhh wewe.........
Suala la kushinda ama kutoshinda kwa mgombea yeyote tuwaachie wananchi hiyo tarehe 3 Oktoba(ni sawa na mpira wa miguu,mshindi wa taji hupatikana baada ya dk 90,au 120 au kwa penati,zamani hata kwa shilingi)....Hapo ndo tutajua mbivu ni zipi na mbichi ni zipi.............Ni kigezo kipi kimekufanya uamini kwamba KIKWETE hatashinda ei 'baada ya kutanguliza familia yake na ubinafsi'!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
-Mama Salma,Ridhwani ama mtu yeyote kutoka familia ya KIKWETE anao uhuru wa kumkampenia KIKWETE(kwa taratibu walizojiwekea wao CCM)...............Ni sawa na Bill Clinton na bintiye cHELSEA WALIVOKUWA WAKIZUNGUKA us nzima kumkampenia Hilary wakati akitaka ridhaa ya wana Democrats kumteua awe mgombea urais wa US...CCM tayari wameeleza kwamba hizi ni gharama zao kama chama na si hao tu kuna makada na ndugu kibao wamezunguka Tanzania nzima.....Huu ni mkakati wa ushindi wa CCM ambao ungeweza kubuniwa na kutumiwa na chama kingnie chochote kile......Ndo maana utaona vyama vya CUF na CCM wagombea urais na running mates wao hawazunguki pamoja,wanaenda sehemu tofauti kwa lengo la kuwafikia waTanzania wengi zaidi na kupata kura nyingi....
Akae pembeni wenye afya waongoze nchiJK hoi
Balantanda, kila mtu ana haki ya kugombea lakini katiba hiyo hiyo inataja sifa za mgombea kwa hiyo inaweza kutoa kwa mkono huu na kunyima kwa mkono mwingine. Mfano asiyejua kusoma na kuandika kanyimwa haki hiyo, naweza kusema katiba haimpi haki mtu yeyoye kugombea akiwepo kichaa labda katiba ituambie kichaa siyo mtu.
Kwani katiba inasemaje juu ya rais mgonjwa hadi rais azimie ashindwe kuamuka ndipo tujue afya siyo nzuri, kama rais anashindwa kuhutubia wananchi wake na kuanguka anguka ovyo ovyo tena hadharani huoni hilo ni tatizo. Halafu elewa katiba haisemi lazima amalize vipindi viwili hata kama ni mgonjwa. Hebu mwangalie tena mtu unayemtetea kama afya yake bado inaruhusu kuongoza nchi yenye watu zaidi ya mil.40,
mhhh wewe.........hebu tuondolee uchuro hapa ebo!!!!!!!!!!..........ushakuwa sheikh yahya mara hii
sipendi sana kuchangia 'sredi' za aina hii(za kampeni/uchaguzi0 lakini kauli zako hizi nzio zimenifanya nichangie aisee....
-kikwete anatumia haki yake ya kikatiba kugombea uprezidaa bana,hayo mambo ya afya yake anayajua mwenyewe ndo maana akajitosa na kuendelea na kampeni za uchaguzi....kwa nini unamuita ni mjinga na ana kburi..............kuwa na adabu bana,eti anapingana na afya yake!!!!!,suala la afya yake limeshaongelewa hapa na hata ugonjwa unaomsumbua(kwa mujibu wa madaktari wake na ccm) ni sukari kushuka unaweza ukampata yeyote na wakai wowote(hata wagombea wengine) subiri kampeni ziishe uchaguzi ufanyike ndo uanze kuyaongea haya.............kikwete yupo kwenye kampeni na anatumia muda mwingi sana katika safari na kuhutubia mikutano ya hadhara so si ajabu kumuona kabadilika wajihi..........ni hali ya kawaida kaika kampeni
-suala la kushinda ama kutoshinda kwa mgombea yeyote tuwaachie wananchi hiyo tarehe 3 oktoba(ni sawa na mpira wa miguu,mshindi wa taji hupatikana baada ya dk 90,au 120 au kwa penati,zamani hata kwa shilingi)....hapo ndo tutajua mbivu ni zipi na mbichi ni zipi.............ni kigezo kipi kimekufanya uamini kwamba kikwete hatashinda ei 'baada ya kutanguliza familia yake na ubinafsi'!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
-mama salma,ridhwani ama mtu yeyote kutoka familia ya kikwete anao uhuru wa kumkampenia kikwete(kwa taratibu walizojiwekea wao ccm)...............ni sawa na bill clinton na bintiye chelsea walivokuwa wakizunguka us nzima kumkampenia hilary wakati akitaka ridhaa ya wana democrats kumteua awe mgombea urais wa us...ccm tayari wameeleza kwamba hizi ni gharama zao kama chama na si hao tu kuna makada na ndugu kibao wamezunguka tanzania nzima.....huu ni mkakati wa ushindi wa ccm ambao ungeweza kubuniwa na kutumiwa na chama kingnie chochote kile......ndo maana utaona vyama vya cuf na ccm wagombea urais na running mates wao hawazunguki pamoja,wanaenda sehemu tofauti kwa lengo la kuwafikia watanzania wengi zaidi na kupata kura nyingi....
-nani kakwambia atafia kwenye kampeni aiseee...kikwete bado ana sifa ya kikatiba ya kugombea kipindi kimoja zaidi,hayo mengine ya utendaji kazi tuwaachie watanzania waamue kupitia uchaguzi.......mengine tumuchie sheikh yahya & co......................................................kwa heri ya kuonana
Mimi nakuunga mkono hebu angalia picha yeke ya jana wakati wa mazishi ya mtoto wa Msekwa kapoteza uzito huu mwili si wake.
Habari za CHADEMA kutangulia mbele kidogo kwa kura za maoni hazingempa JK uchovu mkubwa. Kama kachoka mnavyosema, basi naamini walipompa briefing Usalama Wa Taifa walimwambia kipindi hiki "hawataweza kunyosha mambo".
Kuna watu wengi wanaoipenda nchi huko UWT. Wako wakubwa wachache wa ngazi za juu ambao hula na mafisadi wa CCM, lakini hawawezi wenyewe "kunyosha uchaguzi" na kumhakikishia JK ushindi.
Mhhh wewe.........Hebu tuondolee uchuro hapa ebo!!!!!!!!!!..........Ushakuwa Sheikh Yahya mara hii
Sipendi sana kuchangia 'sredi' za aina hii(za kampeni/uchaguzi0 lakini kauli zako hizi nzio zimenifanya nichangie aisee....
-Kikwete anatumia haki yake ya kikatiba kugombea uprezidaa bana,hayo mambo ya afya yake anayajua mwenyewe ndo maana akajitosa na kuendelea na kampeni za uchaguzi....Kwa nini unamuita ni mjinga na ana kburi..............kuwa na adabu bana,eti anapingana na afya yake!!!!!,suala la afya yake limeshaongelewa hapa na hata ugonjwa unaomsumbua(kwa mujibu wa madaktari wake na CCM) ni sukari kushuka unaweza ukampata yeyote na wakai wowote(hata wagombea wengine) subiri kampeni ziishe uchaguzi ufanyike ndo uanze kuyaongea haya.............KIKWETE yupo kwenye kampeni na anatumia muda mwingi sana katika safari na kuhutubia mikutano ya hadhara so si ajabu kumuona kabadilika wajihi..........Ni hali ya kawaida kaika kampeni
-Suala la kushinda ama kutoshinda kwa mgombea yeyote tuwaachie wananchi hiyo tarehe 3 Oktoba(ni sawa na mpira wa miguu,mshindi wa taji hupatikana baada ya dk 90,au 120 au kwa penati,zamani hata kwa shilingi)....Hapo ndo tutajua mbivu ni zipi na mbichi ni zipi.............Ni kigezo kipi kimekufanya uamini kwamba KIKWETE hatashinda ei 'baada ya kutanguliza familia yake na ubinafsi'!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
-Mama Salma,Ridhwani ama mtu yeyote kutoka familia ya KIKWETE anao uhuru wa kumkampenia KIKWETE(kwa taratibu walizojiwekea wao CCM)...............Ni sawa na Bill Clinton na bintiye cHELSEA WALIVOKUWA WAKIZUNGUKA us nzima kumkampenia Hilary wakati akitaka ridhaa ya wana Democrats kumteua awe mgombea urais wa US...CCM tayari wameeleza kwamba hizi ni gharama zao kama chama na si hao tu kuna makada na ndugu kibao wamezunguka Tanzania nzima.....Huu ni mkakati wa ushindi wa CCM ambao ungeweza kubuniwa na kutumiwa na chama kingnie chochote kile......Ndo maana utaona vyama vya CUF na CCM wagombea urais na running mates wao hawazunguki pamoja,wanaenda sehemu tofauti kwa lengo la kuwafikia waTanzania wengi zaidi na kupata kura nyingi....
-Nani kakwambia atafia kwenye kampeni aiseee...KIKWETE bado ana sifa ya kikatiba ya kugombea kipindi kimoja zaidi,hayo mengine ya utendaji kazi tuwaachie waTanzania waamue kupitia uchaguzi.......Mengine tumuchie Sheikh Yahya & Co......................................................Kwa heri ya kuonana