Tafadhari mlioko Morogoro mjini mtujuze kitakachojiri mkutano wa CUF leo, kwani habari zimethibitisha kuwa waliokuwa kwenye kambi ya Hamad Rashid watakuwa wahutubiaji wakuu kwenye mkutano wa hadhara leo jioni hii.
Mkutano huu unadaiwa kuandaliwa na CCM B ( CUF Maalim Seif) na utakuwa ni kuwaeleza wanachama wao ili CCM C (CUF Hamad Rashid) isipate watu wa kuwaunga mkono. Watakao hutubia mkutano huo ni Mh. Mbalala Maharagande na Wandwi.
Maharagande alitoshwa kuwania Ubunge Moro mjini 2010 na kuvuliwa ukurugenzi aliokuwa nao kwenye Chama hicho.
Baadhi ya viongozi wa CUF wamedai kutoutambua mkutano huo.
Mkutano huu unadaiwa kuandaliwa na CCM B ( CUF Maalim Seif) na utakuwa ni kuwaeleza wanachama wao ili CCM C (CUF Hamad Rashid) isipate watu wa kuwaunga mkono. Watakao hutubia mkutano huo ni Mh. Mbalala Maharagande na Wandwi.
Maharagande alitoshwa kuwania Ubunge Moro mjini 2010 na kuvuliwa ukurugenzi aliokuwa nao kwenye Chama hicho.
Baadhi ya viongozi wa CUF wamedai kutoutambua mkutano huo.