Wenyeji wa Kigoma-ujiji walivyo!

yee mga, nakavubu? amamesa nayo si kujoha, ajohela abagabo na bagole ba jf. burocha. Mia
 
Yeah..Ronaldo ni wa ujiji. Lakini siku hizi anaishi karibu na Zanzibar hill ya zamani.

Nnmh ni mtoto wa mama Ronaldo? u seem to know a lot about that family. Au ni baba Romaldo weye!
 
Kumbe wengi mnamfahamu ee! Nilitaka kufahamu tu wateja wake.

Mteja wa salon yes but si zaidi ya hapo kwani si lesbian huyo, so l can't be mteja wa yale mambo yenu, on the other hand wewe una details za kutosha hadi alipo.
 
Sisi watu wa Kgm hatuna majivuno ila tunajua kujisimamia,na kusimamia hoja.Lakini wachangiaji wengi sana mmapasema Ujiji japo Ujiji ndio inabeba historia ya Kgm mbona hamsemi Gungu,Mwandiga,Bangwe,Kibirizi Kagera,Mwanga n.k
 
watu wa kigoma tuna mashaka na nyie,ni kweli kujisifia ni jambo la kawaida kwenu
 
Ndio maana mungu amewapa shida. Hawa jamaa mkoa wao ungeendelea kidogo, ingekuwa tabu tupu.
 
NI KWELI HII TOPIC INAONEKANA NI YA SIKU NYINGI KIDOGO NA MIMI NIMECHELEWA ILITUNDIKWA HAPA UBAONI WAKATI MIMI BADO FANYA REGISTRATION NDANI YA HII FORUM.NAMIMI PIA NI WA UJIJI ,PALE KUNA HISTORY KUBWA SANA NA KAMA WENYEJi wa ujiji wANGEWEZA KUITUMIA basI IngeliWAFIkISHA MBALI SANA hII LEO.HISTORY YA UTUMWA SOKO KUBWA PAMOJA NA MAKANISA MAKUBWA YA KIHISTORIA YAKO PALE NA MPAKA HII LEO BADO HIVYO VITU VIPO,PIA KUMBUKUMBU YA DR LIVINGSTON NA STANLEY BADO IPO KULE MITAA YA LIVINGSTON NA PALE UJIJI NDIPO BIASHARA KUBWA YA UTUMWA ILIPOKOMESHWA KWA KUPITIA NGUVU NA JITIHADA ZA DR LIVINGSTON PIA ILIWAHI KUJENGWA SEMINARY MOJA KUBWA SANA AMBAYO MPAKA LEO NINAAMINI BADO INATUMIKA KUTOA MAFUNZO YA DINI YA KIKRISTO LAKINI KITU CHA KUSTAAJABISHA SANA WENYEJI WA UJIJI WALIKATAA KABISA KUIACHA DINI YAO YA KIISLAM,HIYO NI PAMOJA NA MABABU ZANGU WOTE ,MIMI BINAFSI NINA HISTORIA KUBWA SANA KATIKA MKOA ULE ,WEWE FANYA SEARCH KUTUMIA JINA LA MSHERWAMPAMBA NA UTAONA NINI NINACHOKIZUNGUMZA HAPA.MSHERWAMPAMBA
 
Hata mimi nashangaa kusikia hizo shutuma dhidi yetu eti kuwa tuna mdomo sana na kupenda kujisifia.Kifupi kamji ketu kana historia ndefu na pana sana na kama watakuja tokea watu wenye vision kubwa ,inawezekana kukabadilika kabisa na kuwa sehemu iliyonamaendeleo makubwa kinyume na hivi sasa.Mimi nina asili pana sana ya huo mji na nimewahi tembelea sana tangu nipo mdogo na pia most of brothers zangu wakubwa na sisters wote walisomea pale pale.Pia kuna suala la uchawi hilo nimelisikia sana kuwa kuna wachawi wengi mpaka hii leo ninamkumbuka bibi kizee mmoja akisifika kwa uchawi pale Ujiji kwa jina alikuwa akiitwa biti Rukungu.Nikiwa kule alikuwa hanipi usingizi huyo bibi nilikuwa naamini usiku atakuja nichukuwa kimazingara,hiyo ni kwa ufupi.
Pia dini ya kiislam imeshikwa sana kule na kitu cha kushangaza sana ni jinsi missionaries walivyojaribu kutaka kuibadilisha Ujiji na watu wake yaani wawe christians lakini ilishindikana kabisa pamoja na kujenga mission kubwa sana ilishindikana kabisa,kule kulijengwa nyumba za maghorofa ya kwanza kwa kutumia udongo mawe na chokaa,nimewahi kuyaona na sijui ka bado yapo yale maghorofa kule karibu na shule ya Karuta yaani ukisikia mradi umegoma kuendelea mbele ule wa wakristo pale ulishindikana kabisa na sijui siri ilikuwa ni nini kilichogomesha ule mradi wa wakatoliki kutoendelea ktk kipindi kile.Kuna mtu kauliza mbona kuna kabila la wajiji kule,hao ndio original wakazi wa ujiji ni wing fulani ya waha.M/Mpamba.
 
Back
Top Bottom