Jamani wenyeji mimi ni mgeni wa muda kidogo nombeni maana ya pm katika hii forum maana naona tu ukihitaji uni pm
Asanteni
Angalia hapo juu, Gonga hapo pameandikwa Private Message.
To: Andika Asprin
Title: I love you!
Halafu mwaga maujumbe then gonga hapo kwenye "Send"
Ntaupata ujumbe wako then ntakujibi afu tutajua la kufanya.
Angalizo: Kama wewe ni mwanaume usinitumie PM. Inbox yangu haidisplay PM toka kwa wanaume:coffee:
Ni mimi wako mtiifu,
Big Braza ODM, a.k.a Asprin kwa hisani ya invizibo.
Angalia hapo juu, Gonga hapo pameandikwa Private Message.
To: Andika Asprin
Title: I love you!
Halafu mwaga maujumbe then gonga hapo kwenye "Send"
Ntaupata ujumbe wako then ntakujibi afu tutajua la kufanya.
Angalizo: Kama wewe ni mwanaume usinitumie PM. Inbox yangu haidisplay PM toka kwa wanaume:coffee:
Ni mimi wako mtiifu,
Big Braza ODM, a.k.a Asprin kwa hisani ya invizibo.
Bank, fanya kama alivyokuelekeza Asprin hapa na utaelewa!Angalia hapo juu, Gonga hapo pameandikwa Private Message.
To: Andika Asprin
Title: I love you!
Halafu mwaga maujumbe then gonga hapo kwenye "Send"
Ntaupata ujumbe wako then ntakujibi afu tutajua la kufanya.
Angalizo: Kama wewe ni mwanaume usinitumie PM. Inbox yangu haidisplay PM toka kwa wanaume:coffee:
Ni mimi wako mtiifu,
Big Braza ODM, a.k.a Asprin kwa hisani ya invizibo.
Angalia hapo juu, Gonga hapo pameandikwa Private Message.
To: Andika Asprin
Title: I love you!
Halafu mwaga maujumbe then gonga hapo kwenye "Send"
Ntaupata ujumbe wako then ntakujibi afu tutajua la kufanya.
Angalizo: Kama wewe ni mwanaume usinitumie PM. Inbox yangu haidisplay PM toka kwa wanaume:coffee:
Ni mimi wako mtiifu,
Big Braza ODM, a.k.a Asprin kwa hisani ya invizibo.