Wenyeji Hodiiii...!

livinstonne

Member
Nov 25, 2010
33
3
Wenye nyumba nabisha hodi rasmi leo baada ya kuwa guest kwa long time now. Naombeni mnipokee na kama chakula kipo mnipe nile....asanteni
 
Karibu lakini mbona umeingia kiivyo hiyo avatar yako ndio inafanya nini? Naona kama honda anam-do nissan au? Kwani una ugomvi na nissan?
 
Karibu lakini mbona umeingia kiivyo hiyo avatar yako ndio inafanya nini? Naona kama honda anam-do nissan au? Kwani una ugomvi na nissan?
Ahahahaaaaah hii avatar iliwahi kuwepo hapa na ilizusha mjadala mkubwa sana.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom