BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,162
binadamu hachungwi
Wewe nawe ulivyoishadadia hiyo tindikali!
walio olewa na kuoa wote wekeni chini ya signature zenu tujue..
maana naona wenye nyumba wanapandisha mashetani...
Labda kuna mtu anatamani angemmwagia!
The negative energy is so palpable!
yani nakwambia hapa nimevaa pensi nyanya,yoyote akijitojeza namuwashia moto..tena vianamke vingine ata mkononi avijai.
The negative energy is so palpable!
Lazima...maana Mrs Matumbo anatishaaaa
Missus Matumbo is full of hot air and smoke! I liken her to a scarecrow.
Inaonyesha kawatisha wengi hadi umeihisi negative energy kutokea screen
Nani anatishika na antics za mtandaoni?
Sasa hiyo negative energy imetokea wapi?
Kwenye michango ya watu!
Hehehe! Mwache mrs ma2mbo aseme yanayouchoma moyo wake, akimezea sana atapata kisukari... Labda mume ni baunsa kama PAW hawezi kudili nae hivyo ameona bora acheze na keyboard...Weeh bakia na pensi nyanya yako hapo atatokea mtu na skin tite, kitopu na viatu vya Yesu! Usije ukaacha mdomo wazi, kuna nzi.
Muache baba wa watu apate appetite jf, si anarudi kula home? Mwenye ubavu wa ku-flirt na PAW namkaribisha, Lol!
Unadhani nini sababu ya hiyo negative energy yao?
Ngumi zikianza natimuaje?... Nashabikia huku nimesimama mlangoni..Sweetlady
Wewe shabiki acha kabisa!