Riba % ngapi?? Hili swali unalikimbia kimbiamkuu tunaanzia kutoa mikopo 200,000 hadi 10 milioni. mikopo yetu inaanzia muda miezi sita hadi miezi 60 .. unachagua wewe muda wako. karibu
Hebu tuchanganulie hiyo 4% kwa mkopo wa laki 2 muda miezi mitat (3) usije tuambia ni 4 kumbe ni 4(0)?tabora hatujafika mkuu ila ukihitaji unaweza tuma document husika then mkopo ukakufikia ,, ila tutafika karibuni. riba nilisema ni 4%
Hakujibu huyoooWe kiwango cha riba watu tukijue,unaposema hamna mkuu ni riba ndogo unamaanisha nini? 2% ya mkopo?
Mkuu naitaji kuwaona. Nitumie namba yako nikucheckkampuni yetu ya african capital, tunatoa mikopo ya haraka ndani ya saa24 , kwa wafanyakazi wa serikali na sekta rasmi .. hauhitaji kuweka dhamana ya mali au kuwa na wadhamini.
unachotakiwa ni kuwa na salary slip za miez mitatu ya karibuni, id ya uraia, id ya kazi na p/size pamoja na bank statement ya miezi mitatu ya karibuni.
wenye uhitaji wa mkopo wanipim .
karibuni
Wasanii,hiyo 2% ni gharama za kuprosses mkopoWe kiwango cha riba watu tukijue,unaposema hamna mkuu ni riba ndogo unamaanisha nini? 2% ya mkopo?