Mkuu pale market ziko nyingi,ni ipi hasa?IMDb? Au ipi?We nenda kwenye market yao halafu uisearch
Mkuu pale market ziko nyingi,ni ipi hasa?IMDb? Au ipi?
Kuna app iko kwenye market ya android inaitwa "LIVE TV" ni nzuri sana kwani unaangalia mechi za ligi za ulaya zote live kwenye simu yako. Mi nina Galaxy S2 leo nimeangalia game la Arsenal lote jana niliangalia game la Chelsea pamoja na Barca
c ushambiwa inaitwa 'LIVE TV?'
Sasa nenda kwenye hiyo Live tv(flash)Weka link, maana Live TV inaleta results nyingi za kuchanganya, ni ipi kati ya hizi? https://market.android.com/search?q=live+tv&so=1&c=apps
Sasa nenda kwenye hiyo Live tv(flash)
Sasa nenda kwenye hiyo Live tv(flash)