Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />
<br />
Mwenzangu hata cjibani ni kwamba nimemaliza chuo mwaka jana na nipo ofc moja najitolea huku nikiendlea kutafuta ajira huku na kule tatizo wanaume weng wa ofc hii ni wasumbufu balaa ful kutongozwa kila unapokatiza afu wengi waume za w2 unapomjibu anakosa nn kwa mkewe anabk kusema huwezi jua kwanini nakutaka ww sa imetokea leo mmoja kaja na mkewe leo ofcn wa ukweli balaa ndo nikashangaa cz cwezi hata kujilinganisha afu anavyompondaga mpk anaboa!
Usipooa ujue utaolewa. Kazi kwako!!!<br />
<br />
Poleni mlioko kwenye ndoa,ndo maana sina mpango wa kuoa!
Walai wanaume hasa wenye ndoa mnaboa kweli yani huoni hata aibu kumfata msichana unamtongoza afu unamdanganya eti ntakuoa wakati tayari una pete kubwa kidoleni afu ukimwangalia mkewe huwezi hata kujilinganisha alivyo wa ukweli khaa acheni kutufanya tambala la mlangoni kufutia miguu!
[h=2]unamuitaje boyfriend/Girlfriend wako?[/h]haya hebu mniambie unamuitaje huyo wako wa moyo maana majina ni mengi nwdays
Yaaa man!Simple Look But Tough in Wallet
Ukimalizana na mambo ya BF/GF na kuanza kuongelea Mme/Mke utajua jinsi ya kudeal na hao watu..
Kwa sasa hilo somo ni over dose kwako.
Jipe muda..utaelewa tu!
Yaaa man!
Mkuu mwenzangu ndo maana nikamwammbia kuwa akiwa mkubwa, ataelewa tu...actually atajishangaa ilikuwaje akapost hii sredi
Usipooa ujue utaolewa. Kazi kwako!!!
Si nasikia sharobaro ni kwa mwanamke, hawa bongoflavour wamelivamiadah....ushakuwa sharobaro (sasa sijui wa kike wanaitwaje LOL)
Kweli AD kutongoza na kutongozwa ni jambo la kawaidaKutongoza ni jambo
La kawaida ... rahisi kuwambia waache
Tatizo utekelezeji...
Muhimu wewe binafsi chuja...
<br />Aseee!!<br />
Ukitongozwa unakuja kutuambia,<br />
Siku ukikubali baada ya kutoka chumba number 17 uje utuambie pia!!<br />
<br />
Halafu we dogo sikia, kama unataka kumpa hiyo kitumbua wee mpe tu, <br />
mambo ya oooh! ana mke, ooh mkewe wa ukweli, hayahusu!
<br />hahahaaa hakuna alotandkwa changa la macho na nilishaapa mume wa m2 simtaki asilani abadani coz manunguniko na machozi ya mkewe hayatatoka bure ndugu yangu,vijana single wapo kibao so nabaki kuwashusha heshima coz nao hawajiheshimu
Walai wanaume hasa wenye ndoa mnaboa kweli yani huoni hata aibu kumfata msichana unamtongoza afu unamdanganya eti ntakuoa wakati tayari una pete kubwa kidoleni afu ukimwangalia mkewe huwezi hata kujilinganisha alivyo wa ukweli khaa acheni kutufanya tambala la mlangoni kufutia miguu!