Steph Curry
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 5,939
- 4,705
Linapokuja suala la kodi sijui kwanini unakuwaga mkali sana aiseee...Mkuu unaweza kutuonyesha hiyo mada nzito kwenye huu uzi au kutafahamisha huyo anayekwepa kodi?
Jamaa kaongea vizuri tu (hata kama sehemu amekuwa biased) ila point ni kwamba "hawa wanaotanua na magari ya kifahari bila ya kuwa na shughuli maalumu za kufanya wachunguzwe vyanzo vya mapato yao" na kama hayo mapato yao na wanavyomiliki vinareflect kodi wanazolipa... Vijana wengi wenye maduka ya mavazi kule Sinza na Kinondoni wanalipa kodi isiyolingana na kipato au vitu wanavyomiliki...