Wenye majina ya rose!

jaman nisaidien jinsi ya KUBADILI JINA
=NIPEN PROCESS ZAKE PLEEEEEEEEEEEEZ abeg abeeeeeeg ...dah kumbe rose si jina...so izi tabia zangu zi zangu bali ni za jina la rose?so nikibadilidha nkaitwa chaudala,njelele,kadala au matwamba izi tabia zitadisapear siyo?
bas nipen jins ya kubadili ili jina !!!!!

Rose wangu hayupo katika hizo asimilia 80...yupo katika 20% zilizobaki...
The st. luv them roses... :pray::A S-heart-2::A S-rose::A S-rose::A S-rose:
 
jaman nisaidien jinsi ya KUBADILI JINA
=NIPEN PROCESS ZAKE PLEEEEEEEEEEEEZ abeg abeeeeeeg ...dah kumbe rose si jina...so izi tabia zangu zi zangu bali ni za jina la rose?so nikibadilidha nkaitwa chaudala,njelele,kadala au matwamba izi tabia zitadisapear siyo?
bas nipen jins ya kubadili ili jina !!!!!

send an email to : support@jamiiforums.com
 
So far nimesoma na watatu na kuwafahamu wengine kama wawili kitabia wanarandana
Ila kuna mmoja kazidi ndani ya week ya kureport kazini kagongwa na vidume watatu.As time goes list itaongezeka.
Si unajua jina linaumba
Swali!Ivi suala la kutembea na total stranger na ulimengu huu wa maradhi jamani likoje?wapo wanaosema watatumia kondom na ikipasuka au ukaivaa ndivyo sivyo ukiwa umelewa?
Dunia hii unaonana na mtu asbi jioni unampaaaaaaaaa khaaaaaaaaaa
 
Rose wangu hayupo katika hizo asimilia 80...yupo katika 20% zilizobaki...
The st. luv them roses... :pray::A S-heart-2::A S-rose::A S-rose::A S-rose:
thank u ..thank u ma daear st..ur real st at lst umenifariji...
so niendelee na jina lang?
jaman et finest kanambia niitwe SIJAONA
 
thank u ..thank u ma daear st..ur real st at lst umenifariji...
so niendelee na jina lang?
jaman et finest kanambia niitwe SIJAONA

Achana na digidigi, hawajui wasemalo.....(Mama B kamharibu kijana yule)
 
Rose wangu hayupo katika hizo asimilia 80...yupo katika 20% zilizobaki...
The st. luv them roses... :pray::A S-heart-2::A S-rose::A S-rose::A S-rose:

Rose wako ndio yule Rose Kamili? (usisome katikati ya mistari hapo hommie):nono::nono::nono:
 
Rose wako ndio yule Rose Kamili? (usisome katikati ya mistari hapo hommie):nono::nono::nono:
dah, Yaani Rose Kamili kabisa na si mwenye mapungufu siyo? yaani kakamilika eh? kamili gado... au?
 
Duuh hii kali lakini mie nadhani ni hulka ya mtu si jina
Nina wifi yangu anaitwa Rose nadhani kishaolewa mara 10 mpaka sasa na kwa hivi sasa hata sijui yuko wapi tena mwingine yeye ni migogoro kila siku ,
Lakini chanzo sidhani kama ni jina ni matabia tu.:nono::nono::nono:
 
Rose wako ndio yule Rose Kamili? (usisome katikati ya mistari hapo hommie):nono::nono::nono:
Rose wangu yupo kamili sana si-ndugu....(sijaona mstari hata mmoja ati----kuna ishu hatujamaliza maongezi)


dah, Yaani Rose Kamili kabisa na si mwenye mapungufu siyo? yaani kakamilika eh? kamili gado... au?

Thanx...wewe una macho yanayoona katika giza...
 
Duh - kumbe na wewe ni "akina Rose"!

Basi utakuwa na matatizokatika mahusiano yako ... Kubali kataa!

hahah hahah naogopa kukwambia apa km mimi ni rose kweli au ni nomino tu panapo jf
..tangulia common room nakuja kukwambia ma real name..bt mpk sasa NINAITWA ROSE.
 
Back
Top Bottom