Wenye Degree za B.com Sheria na Nyinginezo Kufundisha primary scul

<br />
<br />
Tatizo kama hili liliikumba Nigeria miaka ya late 1980's ilianza kutoa output kubwa ya graduates kuliko uwezo wa kuajiri. Matokeo yake ni utapeli, unabii wa uongo, usanii wa kujiaibisha kama vile comedy, uuzaji na utumiaji wa MIHADARATI a.k.a NDUMU bin GANJA, n.k.

Akina Kakobe, Mzee wa upako ndio wamefungulia njia. You are absolutely right. Serikali haifanyi kitu kukabiliana na hali hii inayotujia. Wanakimbilia Igunga.
 
dah,mkuu unantisha sana sababu nimepangwa bcom,ni kweli hayo unayoyaongea mkuu?

that's right dear friend!!! there's hardship to get beta timely. Look, if you do L.L.B or kind of your course that means never think of quick employment unless your hand is held by someone moving everything offshore!!!
 
<br />
<br />
sa si bora hata hao wa bcom m2 anasoma public administration,human resources,community dvt na political sciance cjui wao hata kama hzo dili za kufundsha watazpata.
Inaelekea hujui hata unachoongea. Hebu jaribu kupitia course outline za Political science hapo Mlimani uone ninio wanafundishwa!!!! By the way inaelekea hujui kama Political Science ni somo moja la kufundishia na linasomwa na watu wanaochukua B.A Ed.
 
Inaelekea hujui hata unachoongea. Hebu jaribu kupitia course outline za Political science hapo Mlimani uone ninio wanafundishwa!!!! By the way inaelekea hujui kama Political Science ni somo moja la kufundishia na linasomwa na watu wanaochukua B.A Ed.
<br />
<br />
vp mkuu,nawe unaipga hyo mambo nin?
 
Mkuu FFU Heshima.

B'Com ina michepuo mingi eg [1] Human Resources Management [2] Accounting [3] Finance & Banking [4] Production Management [5] Procurement & Logistics Management [6] Marketing Management [7] Insurance [8] Public Finance or Taxation [9] Tourism Management and ........ Mkuu unaposema baada ya miaka mitano hawatakuwa na ajira una maana mambo yote niliyoyataja hapo juu hayatakuwepo au ulikuwa na maana gani ?.


hatimaye Tanzania aft 5 yearz to come watu wenye degree hawatapata ajira wataishia kufundisha shule na nchi itakuwa pabaya hi ni kutokana na output ya graduates kwa wingi
 
hatimaye Tanzania aft 5 yearz to come watu wenye degree hawatapata ajira wataishia kufundisha shule na nchi itakuwa pabaya hi ni kutokana na output ya graduates kwa wingi

zote ni kazi, cha muhimu maslahi! Mbona wenye PhD wanakuwa madiwani hamshangai, kazi hiyo si inahitaji taaluma ya kujua kusoma na kuandika pekee?
 
Back
Top Bottom