CHUAKACHARA
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 12,358
- 6,422
<br />
<br />
Tatizo kama hili liliikumba Nigeria miaka ya late 1980's ilianza kutoa output kubwa ya graduates kuliko uwezo wa kuajiri. Matokeo yake ni utapeli, unabii wa uongo, usanii wa kujiaibisha kama vile comedy, uuzaji na utumiaji wa MIHADARATI a.k.a NDUMU bin GANJA, n.k.
Akina Kakobe, Mzee wa upako ndio wamefungulia njia. You are absolutely right. Serikali haifanyi kitu kukabiliana na hali hii inayotujia. Wanakimbilia Igunga.