dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Ahoji wakuu wa mikoa yote kwenda Dodoma kufanya nini wakati kuna tv? Kasema nchi hii wanakula nchi leo kesho tunakuwa ombaomba kwa nchi ambazo cabinet zao hazizidi wajumbe 25 sie tuna baraza la watu zaidi ya 50.
Kashangaa wizi wa Kishapu kuundiwa tume wakati CIG keshamaliza kazi?
Kashangaa wizi wa Kishapu kuundiwa tume wakati CIG keshamaliza kazi?