kasyabone tall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2009
- 254
- 59
Mimi napendekeza kwa CHADEMA kuwa kuna haja kubwa ya mbowe kumsaidia kampeni WEnje hata kwa siku moja tu.Nawaangalia hawa watu kwa mtazamo kwamba Masha anajifanya mtoto wa mjini, Sasa akipelekewa mtoto mjanja wa mjini zaidi hali itakuwa safi sana kwa CHADEMA. Wenje sina mashaka kuwa anamuweza Masha lakini Mbowe atammaliza kabisa. Masha hawezi furukuta kwa Mbowe hata kidogo. Napendekeza kwa viongozi wa chadema kama itawezekana Mbowe aende kumsaisia Wenje hata kwa siku moja tu.