Idimulwa
JF-Expert Member
- May 27, 2011
- 4,503
- 1,722
Wakuu...Heshima kwenu.
Nipo viwanja vya Kabuhoro kata ya Kirumba jijini Mwanza.Wabunge wa CDM ...Kiwia-Ilemela,Wenje-Nyamagana na Machemuli-Ukerewe..Wamefunika ile mbaya...Ni kwenye kampeni za udiwani kata ya Kirumba jijini Mwanza...kufuatia kifo cha diwani MANOKO(CHADEMA)kilichotokea mwaka jana.
Nipo viwanja vya Kabuhoro kata ya Kirumba jijini Mwanza.Wabunge wa CDM ...Kiwia-Ilemela,Wenje-Nyamagana na Machemuli-Ukerewe..Wamefunika ile mbaya...Ni kwenye kampeni za udiwani kata ya Kirumba jijini Mwanza...kufuatia kifo cha diwani MANOKO(CHADEMA)kilichotokea mwaka jana.