Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,754
- 7,536
huyu kijana ni hivyo kabisa, anangojea afukuzwe ndo aseme. Hizi ndo siasa za maji taka zinazoinyemelea CDM. Sana naamini kuwa alistahili kufukuzwa!Akiongea na kituo cha Metro fm asubuhi ya leo jijini Mwanza, Matata anamtuhumu wenje kutafuna michango ya madawati iliyopatikana viwanja vya sahara katika harambee iliyohudhuriwa na mtoto wa Raila na kupatikana zaidi ya ml 70.