Je alifanikiwa kuwarejesha wale waliodaiwa kunyakuliwa na Ngeleja?
Wenje ni mbunge, waziri kivuli na mkurugenzi nje! Malipo mara 3!
Asha........Karibu tena jamvini....CHADEMA hailipi mawaziri vivuli wake chochote wala hailipi mishahara wabunge wanapokuwa wakurugenzi. Hata hapa Zanzibar, Waziri wetu kivuli Raya Ibrahim amenieleza kwamba halipwi. Hivyo tuwaunge mkono wapambanaji wetu waaojitolea.
Asha
Sasa we hutakii?Wenje ni mbunge, waziri kivuli na mkurugenzi nje! Malipo mara 3!
geita,sengerema na mwanza mjini chadema wanahamia ccm.janatu apa geita 50 wametoka cdm wamerejea ccm.sasa hizi habari za kutunga za TZ Daima si uzushi mtupu.
Hii nimeipenda mkuuKama mtu kakusaidia kuzoa takataka ataziomba tena za nini.
Wenje ni mbunge, waziri kivuli na mkurugenzi nje! Malipo mara 3!
mbeya mlisema shambwee shitambala hajahama jana mmeenda kununua watu ili wawe viongozi wa muda.subirini tu huku mwanza nako mtatoa majibu bila kupenda.
Wewe unazungumzia Mwanza ipi? maana kama ni hii ya Tz utakuwa unaota au kama uko macho basi una bwabwaja.mbeya mlisema shambwee shitambala hajahama jana mmeenda kununua watu ili wawe viongozi wa muda.subirini tu huku mwanza nako mtatoa majibu bila kupenda.
Wewe unazungumzia Mwanza ipi? maana kama ni hii ya Tz utakuwa unaota au kama uko macho basi una bwabwaja.
Ni lazima ujidhalilishe humu jamvini kwa kuleta upupu kila mara?