T2015CCM
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 7,931
- 987
vile vile huwa anashangaa kwa nini watanzania ni maskini kwa sababu yeye anakula bata tu bonge la msafara mashangingi 50 ni noma
sababu ya kuzomewa ni wivu,kwa kuwa wewe hauli bata
vile vile huwa anashangaa kwa nini watanzania ni maskini kwa sababu yeye anakula bata tu bonge la msafara mashangingi 50 ni noma
Aliwahi fanya ziara ya kukagua visima, alipochungulia ndani ya kisima akaona kitu kama mamba mdogo, akauliza mmefuga mamba? Akajibiwa hapana mheshimiwa hicho ni kivuli cha....! Hakumbuki Iringa Msigwa alimwambia nini juu ya msafara wake kuwa na magari 50 ya SIRIKALI. Magari 50, kukagua mizinga 20 ya nyuki??? Shame on .....!
mkuu, what is the moral of the story?Hii stori inanikumbusha stori ya sisimizi kuuwa Tembo anaingia kwenye mkonga wa Tembo, basi Tembo anajipiga ukutani au kwenye mti mpaka anakufa.
wenje anaendelea kumponda pinda kwa kujimilikisha dhiara za kiserikali kuwa za Magamba.
...Hivi alivyozomewa hakulia kweli? Nadhani 98% ya viongozi wetu up stairs siyo njema sana. Waziri Mkuu anashindwaje kuwahoji hao wanaopanga msafara wake kuwa na magari 50 ya nini? wakiwa na magari 3 ziara hazifanyiki?...Pinda hana tija wanaendelea kutumia kodi zetu vibaya, safi sana Wenje umempa ukweli huyo mzee wa kulialia
Ina maana kila mzinga mmoja uliwakilishwa na magari 2.5(V8)Mbunge wa Nyamagana amewaambia wananchi wa Mwanza kuwa Pinda alikuja kufanya ziara ambayo haikuwa na tija. Wenje anasema Waziri mkuu anakuja na msafara mrefu wa magari zaidi ya 50 ili kukagua mizinga ishirini ya nyuki Buhongwa. je haya siyo matumizi mabaya ya fedha za walipakodi?
Kwa mtu mwenye akili ndogo ataamini taarifa hii mana hatafikiria kwa kina na kwa mapana.
Naona ana tatizo la hisabati maana huku amekataa shangingi huku ana msafara wa gari 50Wangetakiwa kumpiga mawe kwa kuchezea pesa za walipa kodi wakati wengine hata mlo wa siku moja wanakosa magari 50 wanaenda harusini ?nawapongeza xana waliomzomea .