chiko
JF-Expert Member
- Feb 24, 2010
- 580
- 245
Swali gumu hili, ila kwangu naona kizazi cha Leo tumependa sana Kipato ama mali kuliko Familia, nasema hivi kwa sababu, unapata mtu katokomea hukooo nchi za mbali. Mtu akaa miaka ya kuhesabu, kipato anachopata wastan, pia nae ana mahitaji na maisha pia huko aliko si rahisi, huku nyumbani akituma, hela zenyewe hazitoshi....uzushi na wasi wasi unaanza.
Kumbuka wakati huo huo watoto wanakosa malezi na uzazi wa wawili. Mimi naona wakati mwengine, tukae chini kwanza na kujiuliza kama shughuli yenyewe itajipa kwa manufaa ya sasa na siku za baadae kwa familia. Familia jama....iwe kitu cha kwanza..isiwe Baba unasafiri mpaka ukirudi humkumbuki mwanao!!!!!Na pia ukiwa huko nje miaka Minne mitano..Kumbuka Hapo Mkeo au Mumeo umemwaachia majukumu yoote na huzuni!!!!
Kumbuka wakati huo huo watoto wanakosa malezi na uzazi wa wawili. Mimi naona wakati mwengine, tukae chini kwanza na kujiuliza kama shughuli yenyewe itajipa kwa manufaa ya sasa na siku za baadae kwa familia. Familia jama....iwe kitu cha kwanza..isiwe Baba unasafiri mpaka ukirudi humkumbuki mwanao!!!!!Na pia ukiwa huko nje miaka Minne mitano..Kumbuka Hapo Mkeo au Mumeo umemwaachia majukumu yoote na huzuni!!!!