Watumishi wengi wa umma kwa sasa hali inazidi kuwa tete

gimmy's

JF-Expert Member
Sep 22, 2011
3,283
3,274
Hapa nazungumzia wale ndugu zangu waliozoea kuishi kwa ujanja ujanja.

Ukifuatilia kwa makini mwenendo wa hoja nyingi zinazotolewa mitandaoni kwa sasa kuna viashiria vya comment nyingi kuonesha kutokubaliana na utendaji wa rais.

Lakini kimtizamo hili ni kundi la wadai haki zaidi pasipo kutimiza wajibu wao,ni kundi la wapenda posho za vikao huku wakilipwa mishahara,ni kundi la wafanyia vikao vya bodi kwenye mahoteli na nje ya nchi wakati serikali ina kumbi zake.

Tunajua kwa sasa hakuna tena ulaji usio wa haki na hiki ndicho chanzo cha baadhi ya watu kutokubaliana na kasi ya rais.

Tunajua kwa sasa Tanzania ina kigogo mmoja tu Dr. Magufuli na si kama mwanzo wizi wa pesa za serikali ulisababisha kuwe na vigogo kibao.

Hii ndio Tanzania tunayoitaka ni vema Rais akatiwa moyo.

Kwa sasa nchi yetu ilipofikia inahitaji aina fulani ya rais mwenye kutumia mabavu ili isonge mbele.
 
Hali ni mbaya mitaani mkuu,believe me pesa nyingi zilizokuwa zinazunguka uraiani zilikuwa za wapiga deal,kwa sisi wafanyabiashara tunaliona hilo coz mwanzo na sasa kuna utofauti mkubwa.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Hapa nazungumzia wale ndugu zangu waliozoea kuishi kwa ujanjaujanja.
Ukifuatilia kwa makini mwenendo wa hoja nyingi zinazo tolewa mitandaoni kwa sasa kunaviashiria vya coment nyingi kuonesha kutokubaliana na utendaji wa mh raisi.
Lakini kimtizamo hili ni kundi la wadai haki zaidi pasipo kutimiza wajibu wao,ni kundi la wapenda posho za vikao huku wakilipwa mishahara,ni kundi la wafanyia vikao vya bodi kwenye mahoteli na nje ya nchi wakati serikali ina kumbi zake.
Tunajua kwa sasa hakuna tena ulaji usio wa haki na hiki ndicho chanzo cha baadhi ya watu kutokubaliana na kasi ya mh raisi.
Tunajua kwa sasa tanzania ina kigogo mmoja tu Dr Magufuli na si kama mwanzo wizi wa pesa za serikali ulisababisha kuwe na vigogo kibao.
Hii ndio tanzania tunayoitaka ni vema Mh raisi akatiwa moyo.
Kwa sasa nchi yetu ilipofikia inahitaji aina fulani ya raisi mwenye kutumia mabavu ili isonge mbele.

Maneno kuntu haya
 
Hali ni mbaya mitaani mkuu,believe me pesa nyingi zilizokuwa zinazunguka uraiani zilikuwa za wapiga deal,kwa sisi wafanyabiashara tunaliona hilo coz mwanzo na sasa kuna utofauti mkubwa.
Kuweni na subra system ikae vizuri mtapata nyingi zaidi ya awali tena za halali sio za deal, madhara ya deal ni makubwa sana hasa kwa wanyonge na masikini ambao ndo tuko wengi kwenye hili taifa.
 
Watumishi wa Umma wapiga dili nao walijikuta wakimchukia Jk dakika za Mwisho!
 
Hapa nazungumzia wale ndugu zangu waliozoea kuishi kwa ujanjaujanja.
Ukifuatilia kwa makini mwenendo wa hoja nyingi zinazo tolewa mitandaoni kwa sasa kunaviashiria vya coment nyingi kuonesha kutokubaliana na utendaji wa mh raisi.
Lakini kimtizamo hili ni kundi la wadai haki zaidi pasipo kutimiza wajibu wao,ni kundi la wapenda posho za vikao huku wakilipwa mishahara,ni kundi la wafanyia vikao vya bodi kwenye mahoteli na nje ya nchi wakati serikali ina kumbi zake.
Tunajua kwa sasa hakuna tena ulaji usio wa haki na hiki ndicho chanzo cha baadhi ya watu kutokubaliana na kasi ya mh raisi.
Tunajua kwa sasa tanzania ina kigogo mmoja tu Dr Magufuli na si kama mwanzo wizi wa pesa za serikali ulisababisha kuwe na vigogo kibao.
Hii ndio tanzania tunayoitaka ni vema Mh raisi akatiwa moyo.
Kwa sasa nchi yetu ilipofikia inahitaji aina fulani ya raisi mwenye kutumia mabavu ili isonge mbele.

mm wananishangaza walijamaa waliozoea kupiga deal ie kuchukua rushwa na hongo kuendeleza mpk sasa. hyo si dharau kwa mh. Rais wetu? awatumbue tu
mf. kuna jamaa wapo uhamiaji na wizara ya kazi kila kukicha bado wanatoa vibali kwa wahindi zaid( unajua wahindi ni wazur kwa kuhongo/kutoa rushwa pale wanapobananika) tofauti na watu wa nchi zingine. wakitumbuliwa ndio hawa wanaanzisha mijadala ya kumpinga rais nadhani kwenye speech ya mh. siku ya mahakama amewaambia watashindwa waooooo. achene hizo deal ndg zangu wahind sio watu ukitoka kwenye hyo nafas yako hata simu yako hawatapokea simbuse kukuona
 
hivi nikweli hakuna wapiga deal siku hizi?siamini kwa bongo hii....ngoja kesho niende mahakamani nione...kuna kalani mmoja alificha file langu...yani jamaaa aliita mafile ya wengine kisha wakatoweka kuingia vyembani nikabaki nimezubaa nje..lengo alitaka jaji aifute kesi coz jaji alikuwa analalamika sionekani kwa mda mrefu...hii ndo bongo
 
hivi nikweli hakuna wapiga deal siku hizi?siamini kwa bongo hii....ngoja kesho niende mahakamani nione...kuna kalani mmoja alificha file langu...yani jamaaa aliita mafile ya wengine kisha wakatoweka kuingia vyembani nikabaki nimezubaa nje..lengo alitaka jaji aifute kesi coz jaji alikuwa analalamika sionekani kwa mda mrefu...hii ndo bongo
Mkuu muendee Takukuru kwa sasa wameanza kazi
 
Hapa nazungumzia wale ndugu zangu waliozoea kuishi kwa ujanjaujanja.
Ukifuatilia kwa makini mwenendo wa hoja nyingi zinazo tolewa mitandaoni kwa sasa kunaviashiria vya coment nyingi kuonesha kutokubaliana na utendaji wa mh raisi.
Lakini kimtizamo hili ni kundi la wadai haki zaidi pasipo kutimiza wajibu wao,ni kundi la wapenda posho za vikao huku wakilipwa mishahara,ni kundi la wafanyia vikao vya bodi kwenye mahoteli na nje ya nchi wakati serikali ina kumbi zake.
Tunajua kwa sasa hakuna tena ulaji usio wa haki na hiki ndicho chanzo cha baadhi ya watu kutokubaliana na kasi ya mh raisi.
Tunajua kwa sasa tanzania ina kigogo mmoja tu Dr Magufuli na si kama mwanzo wizi wa pesa za serikali ulisababisha kuwe na vigogo kibao.
Hii ndio tanzania tunayoitaka ni vema Mh raisi akatiwa moyo.
Kwa sasa nchi yetu ilipofikia inahitaji aina fulani ya raisi mwenye kutumia mabavu ili isonge mbele.
Kabisa kabisa tulifika pabaya sana. Hizi hatua zinazochukuliwa ni sahihi kabisa wengi wanaopinga ni majipu!
 
Kuweni na subra system ikae vizuri mtapata nyingi zaidi ya awali tena za halali sio za deal, madhara ya deal ni makubwa sana hasa kwa wanyonge na masikini ambao ndo tuko wengi kwenye hili taifa.
Tutasubiri sana hali haiwezi kuwa nzuri chini ya utawala ccm. Sasa wanawaza bil. 7 za kuigizia uchaguzi zanzibar baada ya hapo tutaendelea kuisoma namba.
 
Kuweni na subra system ikae vizuri mtapata nyingi zaidi ya awali tena za halali sio za deal, madhara ya deal ni makubwa sana hasa kwa wanyonge na masikini ambao ndo tuko wengi kwenye hili taifa.
Inatubidi tusubiri mkuu,ila kwa wajasiriamali malengo yetu hatuyafikii kwa wakati.
 
Hapa nazungumzia wale ndugu zangu waliozoea kuishi kwa ujanja ujanja.

Ukifuatilia kwa makini mwenendo wa hoja nyingi zinazotolewa mitandaoni kwa sasa kuna viashiria vya comment nyingi kuonesha kutokubaliana na utendaji wa rais.

Lakini kimtizamo hili ni kundi la wadai haki zaidi pasipo kutimiza wajibu wao,ni kundi la wapenda posho za vikao huku wakilipwa mishahara,ni kundi la wafanyia vikao vya bodi kwenye mahoteli na nje ya nchi wakati serikali ina kumbi zake.

Tunajua kwa sasa hakuna tena ulaji usio wa haki na hiki ndicho chanzo cha baadhi ya watu kutokubaliana na kasi ya rais.

Tunajua kwa sasa Tanzania ina kigogo mmoja tu Dr. Magufuli na si kama mwanzo wizi wa pesa za serikali ulisababisha kuwe na vigogo kibao.

Hii ndio Tanzania tunayoitaka ni vema Rais akatiwa moyo.

Kwa sasa nchi yetu ilipofikia inahitaji aina fulani ya rais mwenye kutumia mabavu ili isonge mbele.
WEWE NI MBUMBUMBU.MIMI NI MKULIMA WA SHINYANGA
 
Kama Magufuli ataendelea kuwaacha walimu, madaktari, wakunga na wauguzi, maafisa ugani, masekretari katika idara za serikali, watendaji wa kata na vijiji katika hali ya sasa ambapo wanakabiliwa na ukata mkubwa kutokana na maslahi duni, hatafanikiwa katika utawala wake na kamwe asiote ndoto kwamba ataonesha tofauti yoyote kati yake na mtangulizi wake, JK.
 
JK aliwaachia watu wakawa wanakula sana bata, wakaibuka marais wa mitaani. Mara utasikia rais wa wasafi, rais wa wachinja kuku, rais wa mikocheni na marais wengi tu wa bandia. Ngosha anapiga makufuli mianya yote michafu ya wizi, hata zile mbwembwe za watu kujipachika urais hazitasikika tena. Awamu ya nne ilikuwa na hela nyingi kwenye mzunguko, ambayo haikuwa na uwiano na uzalishaji, udalali na utapeli ulikuwa mwingi. Ngosha anataka mtu ale kwa jasho lake, zile biashara za kuongeza sifuri, kama zinafanyika basi ni kwa hasara na hatarisho la mtu asiyejipenda na kujitakia mema yeye na ndugu zake.
 
Back
Top Bottom