Wengi wa wanaotafuta wachumba JF ni waongo.

Nimekuwa nikifuatilia thread nyingi za wanao tafuta wachumba hapa JF. Nimegundua urafiki hushamiri siku ya kwanza kwa Pm za hapa na pale, watu hawabadilishani namba za simu kwa sababu za kijinga tu. Lakini sababu ya msingi ni kuwa hapa jamvini kuna mababa na midevu yao inajidai mijike, ndio hiyo mara nyingi inatangaza kutafuta waoaji. Nawakilisha kutoka Makongolosi Chunya.

Bujibuji umejuaje hapo?
 
Ninao ushahidi kabisa wa watu waliofanikiwa hapa, mmoja alikuwa ni member na mwingine sio member. Waliwasiliana kwa miezi tisa kabla ya kuonana na baada ya mwaka mmoja ndoa ilifuata. Kwa hiyo wapo watu ambao wapo serious hapa japo sikatai wengine wanafanya utani.
 
Nimekuwa nikifuatilia thread nyingi za wanao tafuta wachumba hapa JF. Nimegundua urafiki hushamiri siku ya kwanza kwa Pm za hapa na pale, watu hawabadilishani namba za simu kwa sababu za kijinga tu. Lakini sababu ya msingi ni kuwa hapa jamvini kuna mababa na midevu yao inajidai mijike, ndio hiyo mara nyingi inatangaza kutafuta waoaji. Nawakilisha kutoka Makongolosi Chunya.
Walitambua hil leo...? Au ushalivaa 'chakula'?
 
Back
Top Bottom