Elections 2010 Wengi wa wanafunzi wa vyuo vikuu kutopiga kura 2010

mimi nahisi hiyo yote njama ya CCM wanajua tukirudi chuo kabla ya uchaguzi majimbo yatachukuliwa na chadema.
 
mimi nahisi hiyo yote njama ya CCM wanajua tukirudi chuo kabla ya uchaguzi majimbo yatachukuliwa na chadema.
Sote tunajua kuwa hiyo ni janja ya CCM kwani wanavyuo wengi wanasupport upinzani. Lakini cha kujiuliza ni kwamba mbona miaka yote wakati wa uchaguzi vyuo vinakuwa vimefunguliwa? kwa nini sasa vifungwe?

Mtoa mada ameleta mawazo mbadala kwa hawa wadogo zetu, nasi tujaribu kutafuta njia/ namna mbalimbali jinsi ya kuwasaidia waweze kupiga kura, kwani kura zao Chadema inazihitaji sana. wafanyeje?
 
Leo kwenye gazeti la Tanzania Daima Ukurasa wa 3 kulikuwa na picha ya viongozi wa TAHILISO na kichwa cha habari TUNADAI HAKI YETU.

Iliandikwa kwa kifupi kuwa Viongozi hao wa TAHILISO walikuwa na mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) kuhusu madai ya wanafunzi wa Vyuo vikuu nchini kunyimwa haki ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu ujao.

Hata hivyo hakukuwa na maelezo zaidi.

Naomba wanajamvi wenye habari zaidi watujulishe hapa.
 
Bila shaka ni kuhusu uamuzi wa serikali kuchelewesha ufunguzi wa vyuo mpaka baada ya uchaguzi wakati ambapo wanafunzi wengi walijiandikishia vyuoni.

Kama kuna mwenye habari zaidi twaomba.
 
Mafisadi wanajua akabisa kwamba hawa ma dogo ni noma, kura zao zitawatoa kwenye kiti cha ufalme.
 
Ikibidi waende mahakamani.Mwaka huu mpaka kieleweke.Ila naona wametoa tamko ikiwa late sana.
 
kuna maelezo yalitolewa na TUME kuwa wawaone wasimamizi wa uchaguzi kule walipo ili wabadilishiwe vituo
 
Hawa madogo hawana msimamo mara ya kwanza walinunliwa na kikwete kama walivyofanya 2005 kama mnakumbuka vizuri, vyuo vikuu mwaka 2005 walimpigiea che[puo JK hawa na mwaka huu the same kinachojiri hapa ni kwamba UELEWA WAO KAMA WASOMI UMEWASAIDIA KUSOMA MAPEMA ALAMA ZA NYAKATI na kugundua baada ya kampeni za dr.Slaa kung'ara wameona kikwete ahtashinda sasa wanaaanza kuingiza hypocry hapa.Wana forum hawa madogo mimi naona ni wanafiki wamegundua mtu wao hashindi ndo wanajikombo kuonewa huruma.I had it been that they're wazalendo toka mwanzo wangepiga kelele hadi dunia ikasikia.
Achana nao wale kwanza wakiruhusiwa kupiga huko waliko it will be catastrophe kwa wizi wa kura.Kumbukeni a simple science principle says: when the system is in equilibrium and one of the factors is altered the system must shift favourably or unfavourably. Now who knows kwamba ukiwaruhusu wapigi huko waliko kwamba system ita-shift unfavourably.
ACHANA NA HAO MADENT wamechemsha toka mwanzo

Wa
 
leo kwenye gazeti la tanzania daima ukurasa wa 3 kulikuwa na picha ya viongozi wa tahiliso na kichwa cha habari tunadai haki yetu.

Iliandikwa kwa kifupi kuwa viongozi hao wa tahiliso walikuwa na mkutano na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa idara ya habari (maelezo) kuhusu madai ya wanafunzi wa vyuo vikuu nchini kunyimwa haki ya kupiga kura katika uchaguzi mkuu ujao.

Hata hivyo hakukuwa na maelezo zaidi.

Naomba wanajamvi wenye habari zaidi watujulishe hapa.

kama pemba watu walikuwa wanawabeba mapka wagonjwa kwenda kupiga kura, wanafunzi hawa watashindwa vipi kufika katika vituo vyao mapema kupiga kura, labda kama hawahataji mabadiliko ya kweli. Ikiwa tume ya uchaguzi itashinda kuweka vitio vya kupiga kura pale ilipowataka kujiandikisha then utakuwa na ushahidi mzuri wa kwenda kudai haki yako.
 
:rain:INASIKITISHA KUONA WASOMI WANANYIMWA HAKI YA KUPIGA KURA. jE ccm ILIJUA WANAFUNZI WOTE HAWATAIPIGIA KURA YA NDIYO? iWEJE VYUO VICHELEWESHWE KUFUNGULIWA MPAKA UCHAGUZI UPITE?
  1. Je Bajeti ya Vyuo vikuu inaingiliana na kampeni?
  2. Je walimu wa vyuo vikuu hawawezi kufundisha wakati kampeni zikiendelea?
  3. Je ni mpango wa serikali iliyoko madarakani kuwazuia wanafunzi wote zaidi ya 60,000 wasipige kura?
  4. Je Tume ya Uchaguzi imeshindwa kuiamuru serikali kuwaruhusu wanafunzi warejee vyuoni ili waweze kutimiza haki yao ya msingi ya kupiga kura
  5. Je wanasheria na watetezi wa haki za binadamu kama LHRC mko wapi?
Hayo ni baadhi ya maswali ya kujiuliza wakati Haki ya wengi inapotaka kunyongwa. Kwa taarifa CCM inajua wanafunzi wakipiga kura watampa Dr Slaa. So hawana hamu. Fungueni kesi yenye uwezo wa kusikilizwa haraka ili wapate haki yao. Karibuni kwa michango zaidi. :hat:
 
Wanachuo hawakuwa makini tangu mwanzo vyuo vimefungwa tangu june walikuwa wapi??? wanafiki wale.Mwanzo walikuwa kwa JK ndiyo maaana hakulalamika wakti wa tangazo iweje leo????? MUDA UMESHAYOYOMA HIVYO?? Wamegundua JK kashindwa leo wangeuka.Wameliwa hao
 
Napenda kuwahamasisha wanavyuo wote kuwa huu ndio wakati wa kujitoa kwa nchi yao na kuhakikisha kuwa hawapotezi haki yao ya kupiga kura. Kujotoa kwao ni kwenda katika miji au majimbo waliyojiandikisha na kuhakikisha kuwa wanapiga kura. Waende waweke mahema katika viwanja vya vyuo vyao walale pale, wengine waombe malazi kwa watu wenye mapenzi mema. Wakifanya hivi mchezo huu mchafu hautarudiwa tena. Wito wangu nasema nendeni katika majimbo yenu ombeni malazi kwa watu wenye mapenzi mema na kuwaeleza kuwa mna nia ya kupiga kura na vilevile pigeni kambi katika vyuo venu. Hapo mtakuwa mumewakomesha hao wanaotaka kuwapora haki yenu.Na huo ndio uzalendo kwani haki mtu hapewi bali uipigania na vilevile ukishikwa shikamana. Kama nzi afanyavyo ukijua huu sisi tunajua ule.
 
This can happen Only in Tanzania! Watu karibuni 60,000 wajiandikishe kisha wanyimwe haki yao ya msingi ya kupiga kura wakiwa ndani ya nchi yao wenyewe! 60,000???
Akina Marando, Ananilea Nkya na watetezi wengine wa haki za Binadamu Mko wapi Jamani????
 
This can happen Only in Tanzania! Watu karibuni 60,000 wajiandikishe kisha wanyimwe haki yao ya msingi ya kupiga kura wakiwa ndani ya nchi yao wenyewe! 60,000???
Akina Marando, Ananilea Nkya na watetezi wengine wa haki za Binadamu Mko wapi Jamani????

Mi nadhani wakipta watu wa kuwasaidia kufungua kesi chap chap, haki yao wataipata mfano kwa kuruhusiwa kupiga kura kwa kutumia vitambulisho vyao vya chuo na kadi ya kupigia kura pale watakapo kuwa. Hii inawezekana kabisa, kinachotakiwa ni kupaaza sauti ili hao wanaotaka kulalia haki yao waumbuke na wakose pa kuwaminyia!

Mabadiliko lazima yaanze kwa wasomi, na wasomi wenyewe ndo hawa.!

Ila tusihofu sana, kwani vyovyte vile lazima zaidi ya robo bado watapa nafasi ya kupiga kura kwani si wote watashindwa kufika, na si wote walioko mbali pia. Ila hata kura moja ni vyema ipiganiwe ili ispotee kabisa.
 
Wana JF
tuhamasike tuwawezeshe hawa wenzetu wakapige kura. hata kama hawatapigia kwenye target zetu lakini tufanye utu wa kuwezesha watimize haki zao za kikatiba

Kama inawezekana tuhamasike tukodishe mahema au tuwachangie nauli za kwenda na kurudi kwa kukodisha mabasi.
Kuwaandalia mahala pa kufikia au kukodisha hosteli kwa kulipia kwa siku tatu watakazokuwepo hapo. halafu wakiwa hapa watapata only meals tatu yaani ahsubui mchana na jioni. kisha baada ya kura tunahakikisha the morning wanapanda gari haooo makwao wakajiandae na ufunguzi wa vyuo.

Let us do it as jamii and not political motivated but constitutional activists. Tukiweza tuchange buku kumi kumi kiwango cha chini halafu tunakabidhi kwa any NGO inayoweza kuratibu (Chenji irudi kulipia airtime ya JF).
lets do it badala ya kuwalaumu na kuwalaani.
 
Ningewashauri hawa vijana watumie uwezo wao wote kuhakikisha kuwa wanapiga kura. Wale wanaosoma vyuo vilivyopo Dar wajaribu kurudi na kufikia kwa ndugu zao na wale wasiokuwa na ndugu wajaribu kuwasiliana na marafiki zao wenye ndugu ili waweze kujisitiri nao wakati wanapokuja kupiga kura; mara tu wakishapiga kura warudi makwao. Wale wengine vyuo vyao vilivyo nje ya Dar wajaribu nao kufanya hivyo hivyo!!
 
Back
Top Bottom