Wengi hawayajui haya kuhusu Tupac Omar Shakur (2pac)

* "Baadhi" ya majivu, inavyosemekana. Sehemu ya majivu mengine yalisambazwa sehemu kadhaa. Aliwahi kuimba, "bury me in pieces coz they fear reincarnation". And indeed he was buried in pieces.


* Pac aliitaja Hennessey zaidi ya kinywaji chochote katika maisha yake ya umaarufu. Nilidhani hiki ndio kingekuwa kinywaji chake.

* Kuzaliwa NYC, na kuwakilisha WC sio kitu cha ajabu wala hakuwa wa kwanza au wa pekee. The DOC hakutokea WC, Xzibit hakutokea WC. Biggie Smallz aliwakilisha Bedstuy, na hakutokea huko. T.I. anawakilisha both ATL na WC. According to himself, alijifunza maisha na game walivyohamia WC. Na aliamua kuwakilisha zaidi WC, coz NYC "walimgeuka".

* Dear mama ilitoka Tupac akiwa jela kwa kosa la kumdhalilisha mwanamke, which was quite ironic. Haikuandikwa akiwa jela.

* Mama ake alikuwa akishikiliwa gerezani akiwa na mimba ya Tupac. Hakuwa amehukumiwa. Alishinda tuhuma dhidi yake, kabla Tupac hajazaliwa.

AMBAYO WENGI HAWAJUI KUHUSU TUPAC.

1. Tupac na Suge walishawahi kufanya kazi hata kabla Tupac hajajiunga Death Row.

2. Tupac na Suge walikuwa na same "Boss" (Interscope) kabla Tupac hajasign Death Row. Kuna theory kuwa Jimmy Iovine alimkabidhi Tupac kwa Suge kiaina, kujitenga na controversies, ila kimsingi bado alikuwa chini yao.

3. Tupac ndio alipangwa kucheza role aliyocheza Tyrese kwenye Baby Boy movie. John alikuwa na upendo wa pekee kwa Tupac. Uki-calculate hii mambo, unakuja kuona kuna nafasi kubwa sana Tupac ndio angekuja kuwa Roman kwenye Fast & Furious franchise, kama angebaki hai.

4. Tupac biopic movie inayoachiwa soon, itakuwa ni moja kati ya movies mbovu kabisa kufanyika kwenye game. I'd love to swallow my words.

5. Is Tupac alive?? "Still I ride, I'm never worried/
Mr Machiavelli told me to ride, and I'ma ride/
...it's not the way I wanna live, my n!gga it's how it is/". Machiavelli preached ....? Go figure.
 
Kosa kubwa alilofanya kugonga dem wa mshkaji kisha kuimba na kujisifu katika wimbo wake wa Hit em all, naamini kabisa ndio ilisababisha kifo chake, na kama ni kweli (kwa mujibu wa mawazo yangu) basi alistahili kile kifo
 
* "Baadhi" ya majivu, inavyosemekana. Sehemu ya majivu mengine yalisambazwa sehemu kadhaa. Aliwahi kuimba, "bury me in pieces coz they fear reincarnation". And indeed he was buried in pieces.


* Pac aliitaja Hennessey zaidi ya kinywaji chochote katika maisha yake ya umaarufu. Nilidhani hiki ndio kingekuwa kinywaji chake.

* Kuzaliwa NYC, na kuwakilisha WC sio kitu cha ajabu wala hakuwa wa kwanza au wa pekee. The DOC hakutokea WC, Xzibit hakutokea WC. Biggie Smallz aliwakilisha Bedstuy, na hakutokea huko. T.I. anawakilisha both ATL na WC. According to himself, alijifunza maisha na game walivyohamia WC. Na aliamua kuwakilisha zaidi WC, coz NYC "walimgeuka".

* Dear mama ilitoka Tupac akiwa jela kwa kosa la kumdhalilisha mwanamke, which was quite ironic. Haikuandikwa akiwa jela.

* Mama ake alikuwa akishikiliwa gerezani akiwa na mimba ya Tupac. Hakuwa amehukumiwa. Alishinda tuhuma dhidi yake, kabla Tupac hajazaliwa.

AMBAYO WENGI HAWAJUI KUHUSU TUPAC.

1. Tupac na Suge walishawahi kufanya kazi hata kabla Tupac hajajiunga Death Row.

2. Tupac na Suge walikuwa na same "Boss" (Interscope) kabla Tupac hajasign Death Row. Kuna theory kuwa Jimmy Iovine alimkabidhi Tupac kwa Suge kiaina, kujitenga na controversies, ila kimsingi bado alikuwa chini yao.

3. Tupac ndio alipangwa kucheza role aliyocheza Tyrese kwenye Baby Boy movie. John alikuwa na upendo wa pekee kwa Tupac. Uki-calculate hii mambo, unakuja kuona kuna nafasi kubwa sana Tupac ndio angekuja kuwa Roman kwenye Fast & Furious franchise, kama angebaki hai.

4. Tupac biopic movie inayoachiwa soon, itakuwa ni moja kati ya movies mbovu kabisa kufanyika kwenye game. I'd love to swallow my words.

5. Is Tupac alive?? "Still I ride, I'm never worried/
Mr Machiavelli told me to ride, and I'ma ride/
...it's not the way I wanna live, my n!gga it's how it is/". Machiavelli preached ....? Go figure.

Hollah Deep+
 
* "Baadhi" ya majivu, inavyosemekana. Sehemu ya majivu mengine yalisambazwa sehemu kadhaa. Aliwahi kuimba, "bury me in pieces coz they fear reincarnation". And indeed he was buried in pieces.


* Pac aliitaja Hennessey zaidi ya kinywaji chochote katika maisha yake ya umaarufu. Nilidhani hiki ndio kingekuwa kinywaji chake.

* Kuzaliwa NYC, na kuwakilisha WC sio kitu cha ajabu wala hakuwa wa kwanza au wa pekee. The DOC hakutokea WC, Xzibit hakutokea WC. Biggie Smallz aliwakilisha Bedstuy, na hakutokea huko. T.I. anawakilisha both ATL na WC. According to himself, alijifunza maisha na game walivyohamia WC. Na aliamua kuwakilisha zaidi WC, coz NYC "walimgeuka".

* Dear mama ilitoka Tupac akiwa jela kwa kosa la kumdhalilisha mwanamke, which was quite ironic. Haikuandikwa akiwa jela.

* Mama ake alikuwa akishikiliwa gerezani akiwa na mimba ya Tupac. Hakuwa amehukumiwa. Alishinda tuhuma dhidi yake, kabla Tupac hajazaliwa.

AMBAYO WENGI HAWAJUI KUHUSU TUPAC.

1. Tupac na Suge walishawahi kufanya kazi hata kabla Tupac hajajiunga Death Row.

2. Tupac na Suge walikuwa na same "Boss" (Interscope) kabla Tupac hajasign Death Row. Kuna theory kuwa Jimmy Iovine alimkabidhi Tupac kwa Suge kiaina, kujitenga na controversies, ila kimsingi bado alikuwa chini yao.

3. Tupac ndio alipangwa kucheza role aliyocheza Tyrese kwenye Baby Boy movie. John alikuwa na upendo wa pekee kwa Tupac. Uki-calculate hii mambo, unakuja kuona kuna nafasi kubwa sana Tupac ndio angekuja kuwa Roman kwenye Fast & Furious franchise, kama angebaki hai.

4. Tupac biopic movie inayoachiwa soon, itakuwa ni moja kati ya movies mbovu kabisa kufanyika kwenye game. I'd love to swallow my words.

5. Is Tupac alive?? "Still I ride, I'm never worried/
Mr Machiavelli told me to ride, and I'ma ride/
...it's not the way I wanna live, my n!gga it's how it is/". Machiavelli preached ....? Go figure.
R.i.p king pac
 
Back
Top Bottom