Elections 2010 weman Empowerment siyo kwenye mambo nyeti jamani

silver25

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
743
44
Katik vitu ambavyo mimi vinanifanya nimuone Kikwete ni Mbumbumbu wa kufikiri, ni kung'ang'ani kuwapa Wanawake Nafasi nyeti Selikalini,, jamani Si vibaya lakini Hii nchi ni nchi inayo chuchumia ki uchumi inahitaji watu wenye mamuzi mazito na wenye kufanya maamuzi hata pale kunapotokea kunavitisho kutoka sehem mbalimbali (Mfano Ben William Mkapa)

Hii itafanya nchi yetu iendelee,, Mimi sikatai kuwa wanawake wengine ni Wachapa kazi lakini Kunawakati si wakuwa tegemea kwasababu Hii nchi yetu ina laslimali nyingi inapofikia Swala la maendeleo kuvunja Mikataba ya kilaghai tulio sign kwasababu ya Ujinga wa Viongozi wetu hapa Tanzania (Mfano wa Bandari ya Dar) kunahitajika mtu jasiri asiye na woga

Mimi napingasana tabia hii ya Kikwete na CCM yake
 
Anne makinda ni mwanamke pia ni mwajibikaji lakini siyo kwenye mambo Nyti kama Bunge. Kwa Tanzania ni mapema sana kwa kuwaachia Wanawake Office nyeti za kiselikali kwasababu we are striving for the National Development..

Kasoro za Wanawake
1. Mwanamke anakasumba ya kususasusa ( na hii ni Nature haiwezi kubadilika ila itafichika kwa muda tu)
Wakati huo Bunge la sasa lime jaa vijana wenye moyo wa kutafuta Maendeleo ya Tanzania toka vyama Pinzani na Wadadisi,, Speaker mwanamke hawezi kuvumilia mikiki ya challanges kutoka vyama pinzani vyenye uchu kimaendeleo.

2. Mwanamke ana roho ya kisasi na kutafuta Heshima kwa nguvu, (hii ni nature ya wanawake wote,, wanapokuwa na power hupenda kutumia power hiyo kutaka kupata heshima kwanguvu hata kama amepata)
Bungeni kuna maudhi ambayo Mwanamke akiwa Speaker hawezi kuyahimili ""matokeo yake mijadala mingi itakuwa inazuiliwa kwasababu tu ya chuki zitakazo tengenezwa na Roho za kike,

3. Mwanamke ana unyanyasaji akiwa juu, (Hii nayo ni nature ya wanawake wote.)
sasa unyanyasaji huu ulijitokeza hata Bunge lillopita pale Kabwe Zito alipo kuwa akitaka kutoa hoja alikuwa anakalishwa chini ili asichangie kitu) Ninahofu mambo hayo yatatokea kama tukiruhusu mbunge awe Anna Makinda,,,

Watanzania sisi tunaweza kupinga chchiote Selikali kitakacho amua, lakini kama tukiawa na Nguvu ya Pamoja (people Power)
lakini woga wetu hautatupeleka popote pale tutaishi akunyonywa na Familia tisa za matiajiri nchini ambao wanaiendesha nchi kwa sasa kwa kutumia Kikwete na Selikali yake

kweli lakini :tape2::tape2::tape2:
 
Anne makinda ni mwanamke pia ni mwajibikaji lakini siyo kwenye mambo Nyti kama Bunge. Kwa Tanzania ni mapema sana kwa kuwaachia Wanawake Office nyeti za kiselikali kwasababu we are striving for the National Development..

Kasoro za Wanawake
1. Mwanamke anakasumba ya kususasusa ( na hii ni Nature haiwezi kubadilika ila itafichika kwa muda tu)
Wakati huo Bunge la sasa lime jaa vijana wenye moyo wa kutafuta Maendeleo ya Tanzania toka vyama Pinzani na Wadadisi,, Speaker mwanamke hawezi kuvumilia mikiki ya challanges kutoka vyama pinzani vyenye uchu kimaendeleo.

2. Mwanamke ana roho ya kisasi na kutafuta Heshima kwa nguvu, (hii ni nature ya wanawake wote,, wanapokuwa na power hupenda kutumia power hiyo kutaka kupata heshima kwanguvu hata kama amepata)
Bungeni kuna maudhi ambayo Mwanamke akiwa Speaker hawezi kuyahimili ""matokeo yake mijadala mingi itakuwa inazuiliwa kwasababu tu ya chuki zitakazo tengenezwa na Roho za kike,

3. Mwanamke ana unyanyasaji akiwa juu, (Hii nayo ni nature ya wanawake wote.)
sasa unyanyasaji huu ulijitokeza hata Bunge lillopita pale Kabwe Zito alipo kuwa akitaka kutoa hoja alikuwa anakalishwa chini ili asichangie kitu) Ninahofu mambo hayo yatatokea kama tukiruhusu mbunge awe Anna Makinda,,,

Watanzania sisi tunaweza kupinga chchiote Selikali kitakacho amua, lakini kama tukiawa na Nguvu ya Pamoja (people Power)
lakini woga wetu hautatupeleka popote pale tutaishi akunyonywa na Familia tisa za matiajiri nchini ambao wanaiendesha nchi kwa sasa kwa kutumia Kikwete na Selikali yake

kweli!! lakini :tape2::tape2::tape2:
 
Njia waliyotumia kikundi kidogo tu kuchakachua na kupendekeza watu dhaifu watatu ili mmoja apite kirahisi siyo sahihi. Hata kama haja ilikua ni kupata speaker mwanamke alitakiwa apatikane kwa kupambanishwa na speaker anayetoka. Sio haki kumweka pembeni bila kosa lolote mgombea anayetetea kiti chake wakati wanachama na wanchi wengi wanamkubali.

CCm walaaniwe kwa kuwanyima watanzania kiongozi wamtakae.
 
walaaniwe hawa Jamaa,, Etui wamemuapisha tena na wasio na AKili wakipiga Makofi
 
Anne makinda ni mwanamke pia ni mwajibikaji lakini siyo kwenye mambo Nyti kama Bunge. Kwa Tanzania ni mapema sana kwa kuwaachia Wanawake Office nyeti za kiselikali kwasababu we are striving for the National Development..

Kasoro za Wanawake
1. Mwanamke anakasumba ya kususasusa ( na hii ni Nature haiwezi kubadilika ila itafichika kwa muda tu)
Wakati huo Bunge la sasa lime jaa vijana wenye moyo wa kutafuta Maendeleo ya Tanzania toka vyama Pinzani na Wadadisi,, Speaker mwanamke hawezi kuvumilia mikiki ya challanges kutoka vyama pinzani vyenye uchu kimaendeleo.

2. Mwanamke ana roho ya kisasi na kutafuta Heshima kwa nguvu, (hii ni nature ya wanawake wote,, wanapokuwa na power hupenda kutumia power hiyo kutaka kupata heshima kwanguvu hata kama amepata)
Bungeni kuna maudhi ambayo Mwanamke akiwa Speaker hawezi kuyahimili ""matokeo yake mijadala mingi itakuwa inazuiliwa kwasababu tu ya chuki zitakazo tengenezwa na Roho za kike,

3. Mwanamke ana unyanyasaji akiwa juu, (Hii nayo ni nature ya wanawake wote.)
sasa unyanyasaji huu ulijitokeza hata Bunge lillopita pale Kabwe Zito alipo kuwa akitaka kutoa hoja alikuwa anakalishwa chini ili asichangie kitu) Ninahofu mambo hayo yatatokea kama tukiruhusu mbunge awe Anna Makinda,,,

Watanzania sisi tunaweza kupinga chchiote Selikali kitakacho amua, lakini kama tukiawa na Nguvu ya Pamoja (people Power)
lakini woga wetu hautatupeleka popote pale tutaishi akunyonywa na Familia tisa za matiajiri nchini ambao wanaiendesha nchi kwa sasa kwa kutumia Kikwete na Selikali yake

unaongelea mwanamke wako au,
 
Usiwe kama umekatwa kichwa wewe haujasoma habali inahusu nini,, kama huna cha kuandika kakojoe kalale,, na kama wewe ni mwanamke basi you are amon of them
 
kwa kifupi Tabia hii wanawake wanayo,, na nyinyi munaohoji inaelekea ni Wanawake,, inauma kuambiwa ukweli lakini inabidi muvumilie,,, kwani uwongo wanawake huwa hawanuni?
Hawachuniani? hakuna vijembe kwa wanawake? ukinijibu hayo basi utapata maana ya hicho ninacho kielezea,
 
Usiwe kama umekatwa kichwa wewe haujasoma habali inahusu nini,, kama huna cha kuandika kakojoe kalale,, na kama wewe ni mwanamke basi you are amon of them

mkuu mbona una hasira hivyo, hukuchaguliwa jimboni kwako nini? unaposema wanawake wote wana kasoro hizo ulizozitoa
hiyo tafiti umeifanya lini, hebu tupe data kwanza kabla hajaanza kutoa povu, usije ukawa unaandika tabia za mke wako hapa
 
Silver huo ni ukweli mtupu watu wengi sijui kwa nini wanapingana na ukweli siku zote.
 
kwa kifupi Tabia hii wanawake wanayo,, na nyinyi munaohoji inaelekea ni Wanawake,, inauma kuambiwa ukweli lakini inabidi muvumilie,,, kwani uwongo wanawake huwa hawanuni?
Hawachuniani? hakuna vijembe kwa wanawake? ukinijibu hayo basi utapata maana ya hicho ninacho kielezea,

sema tabia ya mwanamke wako, hujui tabia zangu na za wengine
 
kwa kifupi Tabia hii wanawake wanayo,, na nyinyi munaohoji inaelekea ni Wanawake,, inauma kuambiwa ukweli lakini inabidi muvumilie,,, kwani uwongo wanawake huwa hawanuni?
Hawachuniani? hakuna vijembe kwa wanawake? ukinijibu hayo basi utapata maana ya hicho ninacho kielezea,

Tupe tafiti uliyofanya kufikia hapo. Hatuwezi tu kuchukua maneno yako kama yalivyo kama hayana vidhibiti.

Unawajua wanawake wote? Utafiti wako uliuendesha kwa njia gani au kijiweni?
 
Anne makinda ni mwanamke pia ni mwajibikaji lakini siyo kwenye mambo Nyti kama Bunge. Kwa Tanzania ni mapema sana kwa kuwaachia Wanawake Office nyeti za kiselikali kwasababu we are striving for the National Development..

Kasoro za Wanawake
1. Mwanamke anakasumba ya kususasusa ( na hii ni Nature haiwezi kubadilika ila itafichika kwa muda tu)
Wakati huo Bunge la sasa lime jaa vijana wenye moyo wa kutafuta Maendeleo ya Tanzania toka vyama Pinzani na Wadadisi,, Speaker mwanamke hawezi kuvumilia mikiki ya challanges kutoka vyama pinzani vyenye uchu kimaendeleo.

2. Mwanamke ana roho ya kisasi na kutafuta Heshima kwa nguvu, (hii ni nature ya wanawake wote,, wanapokuwa na power hupenda kutumia power hiyo kutaka kupata heshima kwanguvu hata kama amepata)
Bungeni kuna maudhi ambayo Mwanamke akiwa Speaker hawezi kuyahimili ""matokeo yake mijadala mingi itakuwa inazuiliwa kwasababu tu ya chuki zitakazo tengenezwa na Roho za kike,

3. Mwanamke ana unyanyasaji akiwa juu, (Hii nayo ni nature ya wanawake wote.)
sasa unyanyasaji huu ulijitokeza hata Bunge lillopita pale Kabwe Zito alipo kuwa akitaka kutoa hoja alikuwa anakalishwa chini ili asichangie kitu) Ninahofu mambo hayo yatatokea kama tukiruhusu mbunge awe Anna Makinda,,,

Watanzania sisi tunaweza kupinga chchiote Selikali kitakacho amua, lakini kama tukiawa na Nguvu ya Pamoja (people Power)
lakini woga wetu hautatupeleka popote pale tutaishi akunyonywa na Familia tisa za matiajiri nchini ambao wanaiendesha nchi kwa sasa kwa kutumia Kikwete na Selikali yake

Uko sahihi ndugu, tuongee mengi lakini linapofika suala la mwanaume na mwanamku tofauti zipo kabisa za kimaumbile, kisayansi, ki imani, kijamii na kisheria zinazotofautisha mke na mme. Uliyoyasema ni kweli kabisa, akina mama hawajiamini hata kidogo.

Mfano Mkuu wa wilaya huko Tanga (Betty Mkwasa), kuna wakati fulani mtoto aligongwa na gari barabarani na wananchi wakamua kuziba barabara kwa lala, sasa huyu kiongozi (wa wilaya nzima ikiwa ni majimbo, na kata) alifika pale kuwasihi watu waondoke, ndipo kukawa na delay kidogo yule mama akasema (kirahisi rahisi) "au mnadharau mimi kwa kuwa ni mwanamke", hii inatoa picha gani? Wanawake hawajiamini hata kidogo.

Ikatai wanawake laa, kuna kazi ambazo mwanamke anafanya kwa ufanisi zaidi kuliko mwanamme.
 
Wewe unatabia hizo na ndo maan unatoka povu kuhoji,, ungekuwa hunazo usinge tumia nguvu kujitafutia utetezi kilicho andikwa hakifutwi Dada,, munatakiwa kujifunza,,

ukweli unauma saa lakini pole sikujua kama itakuuma kiasi hiki,, Pole sana kite real sory
 
hakuna Darasa jamani Go to the google.com,, kisha andika hilo neno utapata meanings
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom