Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 48,929
- 54,142
Mastaa taja hapo juu leo wameomba msamaha kwa tendo lao lililoichefua jamii kwa picha zisizositiri miili yao, Akiongea Wema anasema steji ya fiesta iko juu na waandishi wa habari hukaa chini wanapopiga picha huonekana wako uchi. Ingawa suala lao halihitaji maelezo mengi maana washwahili wanasema PICHA INAOGEA KULIKO MANENO. Nadhani wamekaa na kupitia picha na kuona ukweli wamejitia aibu na kufedhehesha jamii. Wajitahidi wasirudie yaliyotokea maana ni aibu sana. CHANZO TBC TAIFA!