Je amelelewa ndani ya familia nikiwa na maana ya baba na mama? That could be a reason hana anayemuogopa. Unajua wawili ni wawili, mama akiwa mpole basi baba ana fidia and vice versa. Sasa watoto wanaolelewa na single parents wengi wanakuwa na matatizo ila si wote.
yupo kwenye self destruction mode
if u ask me
hivi huu ni mchoro au macho yangu?
hapa jf sasa hivi kuna thread nyingi za wema sepetu
kwa ujumla zote zinamponda kama alieshindikana hivina kadhalika
na kwa watanzania pia mtazamo uko hivi hivi........
niseme binafsi nimewahi kuona ndugu zangu wawili katika ukoo
mabinti,waliokuwa na tabia kama za wema.....
yaani,walikuwa kama wameshindikana hivi kwenye masuala ya ngono....
hawaambiwi,hawasikiii
it turn out wote wawili,licha ya kuwa na wazazi tofauti....
ilikuja kugundulika baadae chanzo cha matatizo yao ni baba zao..
how. walikuwa sexually abused na baba zao......
mmoja alikuwa akipelekwa shule na baba yake,
wakisafiri anageuka mke wa baba yake huko safarini,wanafikia chumba kimoja cha hoteli
na kadhalika.........
sasa walipoanza kucharuka,cha ajabu baba zao licha ya kuwa wakali saana
walikuwa hawachukui hatua yeyote ile kwasana......
tukija kwa wema,tujiulize,mbona baba yake yuko kimyaaa sana?
halafu mbona inaonekana anaelewana vizuri tu baba yake???????/
sisemi ni kesi hiyo hiyo,but kwa uzoefu wangu
naweza kusema,wema akichunguzwa vizuri na akipata therapist wazuri
am not so far from the truth, trust me
Angalia aina ya wanaume anaowapata kuwa wapenzi, hiyo ni picha tosha!Kweli boss, kuna watu ni wachafu zaidi ya wema. Na ni watu tunaoiteract nao karibu kila cku ila wema anaonekana kama vile ni mtu aliyeshindikana kabisa. Tatizo linaweza kuwa sio yeye maana hata nyie wanaume mna nafasi kubwa ya kumfanya mwanamke awe malaya au atulie.Tusiwe wepesi wa kuhukumu maana kila mtu ana uchafu wake.
angalia aina ya wanaume anaowapata kuwa wapenzi, hiyo ni picha tosha!