zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
Hiyo ni weave ni hair style tu,zipo weave na wigi za aina nyingi Afro,Dread lockcs,Straight,Curl ni hair style tu,hadi mawigi ya yeboyebo yapo,nashangaa jinsi unavyokuza,eti kuvaa hayo ndio kujiuza...
Kujiuza ni zaidi ya nguo na nywele.
Unashindwa kuniaminisha kuwa hizo sio nywele maiti, au nywele bandia. Jee, hizo ndio za kuzaliwa? unanitajia majina ya kibiashara ambayo siko familiar nayo, uzipe jina lolote upendalo ukweli unabaki kuwa si za asili. Na kama hutumii kujibandika nywele maiti ili uwe na mvuto "attraction" ya kuuzika unazitumia kwanini? zako zina kasoro ipi?
Bado siamini kama hizo nywele ni za Mwafrika Mbantu, zimefanana sana na za Waasia na Wahindi wa Amerika au Wazungu wa Mediterranean, kwa uzoefu wangu wao ndio mara nyingi huwa "brunette".