Wema Sepetu, bora usingejichubua

Status
Not open for further replies.
...hii tabia ya kujichubua mtu akianza kuacha hawezi, anakuwa "addicted". Na akija kufanikiwa kuacha basi rangi yake/ngozi yake huwa mbaya mbaya mbayaaaaa....!!!! Ni ulimbukeni tu wetu sie wasichana/wanawake, tunahisi weupe ndio uzuri kumbe wapi..... Black is beuty....am proud of my chocolate colour...!
baelezee...!
 
Huu ugonjwa wa kuthamini uzungu unaitwa negro-negrophobia,ndo uliwaathiri na kina michael jackson,kuamini kila cheupe ni superior

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Kweli huu ni ugonjwa... Sidhani kama mtu na akili zake anaweza fanya hiki kitu
 
ebana hawa wadada sijui nani kawaroga...kuna dem mtaani niluondoka kama mwaka juzi nimerudi kumwona bado kidogo nimpite yaani amekuwa ka albino af yaani mishipa ya damu inaonyesha hadi chembe hai yaani inatisha wadau
 
nafikiri wanawake wana imani kuwa wanaume wanapenda wanawake weupe. Ndio maana wanajitahidi kujikoboa ngozi.
 
nafikiri wanawake wana imani kuwa wanaume wanapenda wanawake weupe. Ndio maana wanajitahidi kujikoboa ngozi.
Wanafikiri wazungu na weupe wao ndio watu bora kuliko sisi wanataka kuwa kama wao. Brain washed people like Wema wanajikuta wakijichubua hovyo hovyo tu, kawa kama kiti moto vile
 
Na hii je?
Super-Star-Launch.jpg
 
Kuna na yule Sauda Mwilima mtangazaj wa Star TV amejichubua kachukiza kabisa. Who do they try to kid kwamba wao ni weupe kama waarabu, mbona weupe wa asil na wakujichubua unafahamika kabisa. Ukijichubua unaonekana soo mshamba
Huyo nadhani ndio mwalimu wao., utasikitika ukiziona picha zake za send off na harusi yake., she looked soo ugly yani., sababu ya mkorogo nadhani make up zilimgomea
 
ebana hawa wadada sijui nani kawaroga...kuna dem mtaani niluondoka kama mwaka juzi nimerudi kumwona bado kidogo nimpite yaani amekuwa ka albino af yaani mishipa ya damu inaonyesha hadi chembe hai yaani inatisha wadau
Inasikitisha jomba., sijui nani kawadanganya
 
Mmesahau mama wema aliwapiga bit kumzungumzia mwanae... Alisema sasa amemtengeneza wema, akisikia mtu anamsema vibaya mwanae atamshtaki..
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom