Kalulu Metusela
Member
- Dec 10, 2011
- 78
- 21
- Thread starter
- #21
baelezee...!...hii tabia ya kujichubua mtu akianza kuacha hawezi, anakuwa "addicted". Na akija kufanikiwa kuacha basi rangi yake/ngozi yake huwa mbaya mbaya mbayaaaaa....!!!! Ni ulimbukeni tu wetu sie wasichana/wanawake, tunahisi weupe ndio uzuri kumbe wapi..... Black is beuty....am proud of my chocolate colour...!