Wema sepetu avishwa pete

this girl is a disgrace to her family...it is worthless for me personally to put efforts to discuss what she is doing....she is always after media attention na huo ni upumbafu na akili za watoto...samahani lakini ....
Leave her alone, it's her life afterall.
 
ka wema mi naka admire sana yaan ingekua uwezo wangu mi ningekaoa ivo ivo na kashfa zake zote, ata kama matapishi mengine matamu bwana, chezea wema wewe
 
me nampongeza wema cz anajar yake zaid....kwakuwa star basi watu wanamwona kama kicheche vile...wewe usie star inawezekana umemzid ukicheche ushukuru hujulikan ....
 
Hatimaye mkali katika tasnia ya sanaa nchini wema isaac sepetu leo usiku amevishwa pete na jamaa kutoka machozi band anayekwenda kwa jina la mwinyi na kudhihirisha ukisema chanini wenzako wanasema watakipata lini na kuonyesha nyota yake bado inang'ara japo amepitia misukosuko mingi,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa new maisha club ambapo imehudhuriwa na mastar wengine kama jb,sharomillionea,sam,gadna g habash,mateja na wengine wengi.wakati huo huo aliyekuwa mchumba wake waliyemwagana diamond yupo ktk hali ya sintojua baada ya mpenzi wake mpya kudaiwa kurudiwa na aliyekuwa mchumba ake hasheem thabit.
Kila la heri dada ktk safari yako mpya na pole kwa kijana diamond.
Source: dj choka blog na mimi mwenyewe

Acheni kupotosha ukweli. Wema yuko kwenye shooting ya movie kuhusu maisha yake na si kama wewe unavyoileta hapa.
 
Acheni kupotosha ukweli. Wema yuko kwenye shooting ya movie kuhusu maisha yake na si kama wewe unavyoileta hapa.

bora umeiweka sawa maana ata kachick ka primary hakawezi kukubali kuchezewa hvyo lbda ka kamewehuka
 
Denda nje nje.. Huyu dada anatisha lol


Sent from my NOKIA 3310 using Tapatalk HD
 
Hatimaye mkali katika tasnia ya sanaa nchini wema isaac sepetu leo usiku amevishwa pete na jamaa kutoka machozi band anayekwenda kwa jina la mwinyi na kudhihirisha ukisema chanini wenzako wanasema watakipata lini na kuonyesha nyota yake bado inang'ara japo amepitia misukosuko mingi,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa new maisha club ambapo imehudhuriwa na mastar wengine kama jb,sharomillionea,sam,gadna g habash,mateja na wengine wengi.wakati huo huo aliyekuwa mchumba wake waliyemwagana diamond yupo ktk hali ya sintojua baada ya mpenzi wake mpya kudaiwa kurudiwa na aliyekuwa mchumba ake hasheem thabit.
Kila la heri dada ktk safari yako mpya na pole kwa kijana diamond.
Source: dj choka blog na mimi mwenyewe

Hiyo pole mbona ungekwenda upande wa pili!
 
Hatimaye mkali katika tasnia ya sanaa nchini wema isaac sepetu leo usiku amevishwa pete na jamaa kutoka machozi band anayekwenda kwa jina la mwinyi na kudhihirisha ukisema chanini wenzako wanasema watakipata lini na kuonyesha nyota yake bado inang'ara japo amepitia misukosuko mingi,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa new maisha club ambapo imehudhuriwa na mastar wengine kama jb,sharomillionea,sam,gadna g habash,mateja na wengine wengi.wakati huo huo aliyekuwa mchumba wake waliyemwagana diamond yupo ktk hali ya sintojua baada ya mpenzi wake mpya kudaiwa kurudiwa na aliyekuwa mchumba ake hasheem thabit.
Kila la heri dada ktk safari yako mpya na pole kwa kijana diamond.
Source: dj choka blog na mimi mwenyewe

Hongera dada Wema kwa kuvishwa pete ya kumi. Tunakuombea hii ya sasa iwe engagement ya kweli!
 
...nani kakudanganya tunda la kati linazeeka..!?

...atatulia saiv...

hatatulia japo shav lishaanza kuota kunde,huu mchokocho wa kila cku mtu mpya unazeesha.huyu mwiny ndo yule jumbe?mh kipwapwiso cha huyu mama kina masugu asee
 
Hatimaye mkali katika tasnia ya sanaa nchini wema isaac sepetu leo usiku amevishwa pete na jamaa kutoka machozi band anayekwenda kwa jina la mwinyi na kudhihirisha ukisema chanini wenzako wanasema watakipata lini na kuonyesha nyota yake bado inang'ara japo amepitia misukosuko mingi,hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa new maisha club ambapo imehudhuriwa na mastar wengine kama jb,sharomillionea,sam,gadna g habash,mateja na wengine wengi.wakati huo huo aliyekuwa mchumba wake waliyemwagana diamond yupo ktk hali ya sintojua baada ya mpenzi wake mpya kudaiwa kurudiwa na aliyekuwa mchumba ake hasheem thabit.
Kila la heri dada ktk safari yako mpya na pole kwa kijana diamond.
Source: dj choka blog na mimi mwenyewe
JF mmeishiwa kiasi hichi hii post ya mwaka 2000 sijui acheni kutushusha hivi visitors wenu
 
Back
Top Bottom