ccm....ccmAnaweza kupata.
Jamani what is a big deal with Ubunge?
We have Komba, Rostam, Mr II, why not Wema?
Please, please, please, do not make it a big deal. I agree with you that we have bright wabunge, Tindu Lissu, Mnyiak, Zitto kwabwe, but still we have others who are .....useless materials....
Please, give her a break, mwacheni!
Labda ubunge wa umalaya ndiyo utapata ukawawakilishe bunge lao lakinia siyo hili la watu makini.
useless wabunge wapo wengi tu Wema akienda atakuwa bora kuliko wao, mbona Amina chifupa alikuwa bora sembuse Wema
aiseeee... agawe tu nanihii kuna naafasi za bure viti maalyumu
kwa kupitia CCM inawezekana!
hao wabunge tulio nao bungeni ni malaya kuliko wema, sema wao wanajificha tu, hao ndio wabaya zaidi!
Soon ng‘ombe na mbuzi watakua wanafanya biashara.....
kweli kabisa..., kila la heri wema.This gurl ana confidence sana, endapo ataamua kupunguza scandal zake na kuamua kwel kuingia kwe politics atakuwa mwakilish mzuri sana!