Purple
JF-Expert Member
- Feb 9, 2012
- 2,027
- 934
Wema kazidisha. Mara yuko polisi....mara sijui yuko Segerea....mara kamtishia Bob Junior....hivi ana nini?
its true but wapo kibao mtaan wenye tabia mbaya kuliko hata Wema thats my point!
Wema kazidisha. Mara yuko polisi....mara sijui yuko Segerea....mara kamtishia Bob Junior....hivi ana nini?
hakuna aliye msafi neither me nor you,my point is 2sipende kujudge wa2 its too much!
Hili jukwaa mamaa umelisoma ni lipi lakini? Maana tusichoshane bureits true but wapo kibao mtaan wenye tabia mbaya kuliko hata Wema thats my point!
Enhe kwa hiyo unataka kusemaje kwenye hiyo point yako?its true but wapo kibao mtaan wenye tabia mbaya kuliko hata Wema thats my point!
Ila wewe unaekazana kusema hapa una undugu nae?
Anadhani tupo chit chat lol.Hili jukwaa mamaa umelisoma ni lipi lakini? Maana tusichoshane bure
Unalo shost, tena limekuganda....kama vipi meza wembe!thats none of your business!
hakuna aliye msafi neither me nor you,my point is 2sipende kujudge wa2 its too much!
Unalo shost, tena limekuganda....kama vipi meza wembe!
Wanamfuatilia au yeye ndiyo anajisababishia hizo attention? Nini kilimfanya anyanyuke na kwenda kumtuza Diamond kama siyo kutafuta attention? Kimbelembele chake kimemtokea puani. Ni heri tu angebaki kwenye meza kufurahia show na muke ya muzungu asiyeshevu kwapa.
Unalo shost, tena limekuganda....kama vipi meza wembe!
Nafwaaaaaaa unaniua jamani hahahahaaa huyu mama naona ameingia kichwa kichwa hapa subiri
Kwani anatukomoa sisi? Eish!Hahahaa mtazidi kumuona hivyo hivyo 2!
Nenda kawaambie hao wa magazeti ya udaku.
Kwekwekwekwe! Wanshangaza!
Kwekwekwekwe! Wanshangaza!