WEMA SEPETU anahojiwa XXL CLOUDS FM now

Anapenda mno attention...na sitashangaa kabisa kama alifanya vile makusudi ili tu apate attention. Na leo kaenda huko redioni kuyaendeleza....kwa nini?
Kiukweli anakera, sijui kichwa yake huwa inafikiria nini asee! Amezidi...
 
Ooh, kumbe umekonda bado, mie nilijua uko kwenye 56 hivi lol... Jitahidi kula sana.

Hhahaaa tatizo la Preta anajazia jazia pale kati halafu viguu vitabaki kama fito ka Wema.
Sasa anaweza kuvunjika kabisaa mwenzio...lol!
 
Hivi karibu kufyatua albamu la kwanza, nakutafuta nikushirikishe...
Nakupendea hapo tu, huniachi nduguyo kwenye neema! Am sure itauza sana..

Nikukute wapi na lini nianze mazoezi ya sauti?
 
Back
Top Bottom