sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Size yake ya KIUNO NGAP?
Last time nilienda kupima i think was 28..
Size yake ya KIUNO NGAP?
Na kiroho papo lol. Amwache kijana wa watu!Hata mimi nahisi ni hivyo....ana kisebusebu.
Size yake ya KIUNO NGAP?
huyu embu atulie sasa kha!
Last time nilienda kupima i think was 28..
huyu embu atulie sasa kha!
yangu 43....
Hahahaha! Umeniuliza saizi ya kiuno ni ngapi lol. Wema bana.hahahahahah!whot iz in ua mind?
Kiukweli anakera, sijui kichwa yake huwa inafikiria nini asee! Amezidi...Anapenda mno attention...na sitashangaa kabisa kama alifanya vile makusudi ili tu apate attention. Na leo kaenda huko redioni kuyaendeleza....kwa nini?
Tobaaaaa Preta!.. 43??? Tehe.
Hahahaha! Umeniuliza saizi ya kiuno ni ngapi lol. Wema bana.
Pili pili iko shamba yakuwashia nini?Kiukweli anakera, sijui kichwa yake huwa inafikiria nini asee! Amezidi...
Khaaa, kwani umeanza lini kuimba taarabu lol.Pili pili iko shamba yakuwashia nini?
Kama vipi muambae ambae kama pwani
Hehehe! Bajabiri wewe!... Mie sijui bana.hahahahahah!
Kwan a gal akiulzwa size ya Kiuno ngapi,what she filz?
Hivi karibu kufyatua albamu la kwanza, nakutafuta nikushirikishe...Khaaa, kwani umeanza lini kuimba taarabu lol.
Ooh, kumbe umekonda bado, mie nilijua uko kwenye 56 hivi lol... Jitahidi kula sana.yani umenisahau jamani.....toka kipindi kile sijaongezeka....
Ooh, kumbe umekonda bado, mie nilijua uko kwenye 56 hivi lol... Jitahidi kula sana.
Nakupendea hapo tu, huniachi nduguyo kwenye neema! Am sure itauza sana..Hivi karibu kufyatua albamu la kwanza, nakutafuta nikushirikishe...
Hahahaha! Hivi hakuna mchina wa mguu?Hhahaaa tatizo la Preta anajazia jazia pale kati halafu viguu vitabaki kama fito ka Wema.
Sasa anaweza kuvunjika kabisaa mwenzio...lol!