Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,054
wataalam help please,this to my untrained eye looks like KAPOSI SARCOMA,hope me is wrong.
wataalam help please,this to my untrained eye looks like KAPOSI SARCOMA,hope me is wrong.
Kaka pole pole bwana....!
Masanilo,
Unaona sasa matatizo ya hawa akina dada Weusi? Kama ni hivyo, mtu si uchukue tu Mthungu aliyejiwekea UCHINA sehemu ya kukalia tu? Sasa huyu Wema huu weupe kaupata wapi kama si Mkorogo to power 3??
Mie ngoja nitafute Mwaarabu mchanganyiko. Hapa Sikonge wapo wachache, i hope ntapata kimoja. Kama nikikosa basi walau pale Tutuo kuna vitoto vya akina Koronzo na "Kibubunswa" ikiwa na maana ya Kichuguu .......
BTW: Masa, Wanzuki weekend ilikuwa bomba si kawaida. Ndiyo maana nilipotea hadi leo. Vipi huko Kyela mambo yalikuwagaje?
Madhara ya mizigo toka China ndo hii sasa.
Ila mrembo katumika mno nahisi itakuwa imechangia vipodozi kugonga mwamba
ddduuuuuuuuuuu ndo hivyo jamani sitaki tena mkorogo mie
Si useme tu hapa na siye tuwaambie mananhii wetu? Tafadhali!First lady mkorogo wa nini sasa mbona unataka kunita aibu, ni PM nikupe njia mbadala, yani utakuwa poa bila chemicals.
MJ
wataalam help please,this to my untrained eye looks like KAPOSI SARCOMA,hope me is wrong.
aah wapi hamna cha tukutuku hilo donda la mguuni hapo ni kampata msela kapiga style ya mbuzi kagoma kwenda kwenye kapeti ndo matokeo ya huo mchubuko gotinihilo donda litakuwa ni la tukutuku tu
milleage ya kufa mtu, eti alikuwa miss tz, bongo bana halafu nahisi kuna kitu atakuwa anavuta..look at her, she is f...n wasted.
Si useme tu hapa na siye tuwaambie mananhii wetu? Tafadhali!
Party party party let's all get wasted.....shake it to me babygal do it buttnaked...I'm so wasted...she's so wasted...tell the bartender to send me 20 cases....
Dada yangu, kudundwa gani atolewe michirizi iliyopitiliza ile ya utamu? Ni dawa tu nza wenzetu wa mbele da 1stLady, ha ha haambonea mie nashangaa sana sijui huyo mtoto katumia mkorogo au hayo madawa ya kichina wanayosema hapo juu ,mungu anawaumba kwa uzuri kama tausi ila wanamkosoa
au kaligombana haka kadada kakadundwa maana nako mmh
Duh pole sna mrembo wetu!