Kabakabana
JF-Expert Member
- Aug 5, 2011
- 5,551
- 1,159
Mdada mmoja alipoteza pochi yake kwenye daladala! Jamaa mmoja muaminifu akamtafuta mpaka akampata! Yule dada alishukuru kila kitu kilikuwemo kasoro moja tu
MDADA; huku kulikuwa na laki,lakini noti zote za kumi kumi,lakini sasa noti ni za mbilimbili
JAMAA;ni kweli,mara ya mwisho nilipookota pochi nikamrudishia mwenye nayo akasema hana chenji.
MDADA; huku kulikuwa na laki,lakini noti zote za kumi kumi,lakini sasa noti ni za mbilimbili
JAMAA;ni kweli,mara ya mwisho nilipookota pochi nikamrudishia mwenye nayo akasema hana chenji.