Ungesoma vizuri ungeelewa lkn kwa vile tayari ulikuwa na majibu ya sred yako ndio maana umesoma na kuelewa kinyume!kasome Biblia kuanzia Mwanzo 1:1 mpaka ufunuo akuna sehemu imeandikwa Mpango wa Mungu wanandoa Kuachana hata siku Moja kama una New virsion ya baibo yako tumwagie hapa.....
mamndenyi acha matusi!hilo shimo lake naona sasa lina sagamba.
yeah!...ingawa wema ni gold diggerkuwajadili hawa watu ni kupoteza muda tu
Ungesoma vizuri ungeelewa lkn kwa vile tayari ulikuwa na majibu ya sred yako ndio maana umesoma na kuelewa kinyume!
Hata ingekuwa ni mimi, ningeacha RADHI kwa mtoto wangu kumuoa Wema.