Mo-TOWN
JF-Expert Member
- Oct 11, 2010
- 1,721
- 515
wale watangazaji wamechemsha sana...! tena ni unprofessional to do that, she is a public figure tena ameenda na meneja wake ambae ndio msemaji wa kila kitu! na alipoingia akatoa angalizo mapema kwamba kilichompeleka pale si kuongea habari za diamond na hayuko tayari kuzungumzia hilo
Wale nao muda wote wanaupoteza kwa kumlazimisha kujibu hayo maswali mpaka mtu anabadilika, anaanza kuwa mkali,anatoa mic akaamua kusepa....huu ni upumbavu ningekua bosi wao leo wangeona,
Well said! I couldn't agree more with you. Thanks