WILLY GAMBA
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 211
- 87
Kwa mara ya kwanza nimeanza kukuelewa kdg,...hayo ma equation uliyo watupia si ya kitoto ( kuwatosa NEC ),mpaka wakifanikiwa kuyafungua ma braket itakuwa tuuleiit na uchaguzi wenu umeshapita.
Wasi wasi wangu angalia sasa wanaweza kutumia lile zao kuu la Satta (King Cobra) kukupa break maana umeongea sana!
Wasi wasi wangu angalia sasa wanaweza kutumia lile zao kuu la Satta (King Cobra) kukupa break maana umeongea sana!