E bwana nimefika kilindi wilaya mpya mkoa wa tanga, wilaya hii inaendelea kwa kasi ya ajabu nawashauri wajasiliamali wafike kuangalia opportunities, ardhi yao ni bomba mbaya wanalima na hawatumoii mbolea na wanavuna ile mbaya
viwanja vinapimwa bei yao inaanzia laki sita hadi milioni, wanatoa hati miliki bilalongolongo. Unaweza kutoka kimaisha kupitia hii wilaya,
wilaya haina guest ya ukweli
haina petrol station ya ukweli
haina duka lolote la hardware
hakuna duka lolote la ukweli ambalo linauza vitu vya ujumla
viwanja vinapimwa bei yao inaanzia laki sita hadi milioni, wanatoa hati miliki bilalongolongo. Unaweza kutoka kimaisha kupitia hii wilaya,
wilaya haina guest ya ukweli
haina petrol station ya ukweli
haina duka lolote la hardware
hakuna duka lolote la ukweli ambalo linauza vitu vya ujumla