wekeza/dhamini inalipa

Giveny

Member
Dec 2, 2014
11
0
ndg zangu wana JF, Mimi Ni Mwalimu Na Mwandish Wa Kujitegemea Wa Contents Mbalimbali Za Kitaaluma, Nimekuja Na Mtazamo Mpya Wa Kiuandishi Ambao Utakuwa Ni Msaada Mkubwa Kwa Wanafunzi Wa Somo La Biologia Kwa Upande Wa Vitendo/practicals. Nimeandika Kitabu Chenye Ubora Ktk Contents & Mwonekano, Ndani Ya Miaka Miwili, Kikiwa Na Separate Key Box Itakayo Mwezesha Mwanafunzi Kujiandalia Practical Yeye Mwenyewe Wakati Na Pahala Popote, Lakini Kitabu Hiki Hakiwezi Kutumika Bila Key Box, Na Hivyo Kuondoa Ulasimu Wa Kutoa Copy, Nimefanya Uchunguzi Na Kujiridhisha Soko Ni La Uhakika, NATAFUTA MTU AU KAMPUNI ITAKAYOKUBALI KUINGIA UBIA/MKATABA KWA AJILI YA KU PUBLISH KITABU HIKI, MDHAMINI ATAKUWA NA 40% YA MAUZO KWA KADRI YA MAKUBALIANO. YO'RE WELCOME!
 
Back
Top Bottom