Luteni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 2,274
- 301
Nyerere aliondoka na sh ngapi hata familia yake ikoje kwa sasa si hata watoto wake kina Makongoro si tunawaona angalia tofauti yake na wanasiasa wa kisasa watoto wao wako wapi na familia zao zikoje hakuna sababu ya kuwatajaaah wapi..bahti mbaya mie sio mdanganyika..endeleeni kudanganyana na siasa zenu.