Wekeni Resume (CV) za J Makamba, J Mnyika, Z Kabwe na L Nyarandu

mstahiki

JF-Expert Member
Jul 14, 2007
308
5
Tunahitaji kuweka CVs(resumes) za January Makamba,Lazaro Nyalandu,Zitto Kabwe na vijana wengine wote watakao kuwa wanagombania public office ili tufanye upembuzi yakinifu..na kuwaeleza nini tunahitaji toka kwao....
 
Bado una-imani na wanasiasa wa nchi hii? unataka kugusa alama za misumari?
 
Unataka CV ili iweje? Hujui kuwa being politician is about 'knowing everything' without having any knowledge?
 
Bado una-imani na wanasiasa wa nchi hii? unataka kugusa alama za misumari?

Mi namshangaa ati..

Kaa ananafasi ya kazi ya kitaalauma anataka kuwapa awatafute huko kwa muda wake wampe hizo CV, otherwise hapa anachofanya ni kupiga kasia kwenye nchi kavu.
 
Mi namshangaa ati..

Kaa ananafasi ya kazi ya kitaalauma anataka kuwapa awatafute huko kwa muda wake wampe hizo CV, otherwise hapa anachofanya ni kupiga kasia kwenye nchi kavu.


Basi hata wewe unapiga kasia kwenye nchi kavu..What are doing hapa JF..you might as well ishia kwa michuzi kuanangalia picha...
What do you mean by "kazi ya kitaalauma"...hawa ni watu ambao kwa kura yako unawapa ajira....kama wewe ni muajiri kwa nini usijue resume ya mtu.
 
Unataka CV ili iweje? Hujui kuwa being politician is about 'knowing everything' without having any knowledge?

Kwa staili hiyo ni ngumu kuendelea.

Politks ni kazi inayoendana na cv, otherwise tutabaki kama tulivyo. Politks si uwezo wa kupiga propaganda.Politks ni uwezo wa kubuni, kuuwezesha ubunifu na hatimaye kuupitisha ktk nyoyo za wananchi.Hivyo kazi hii inahitaji kwenda sambamba na cv.
 
Kwa staili hiyo ni ngumu kuendelea.

Politks ni kazi inayoendana na cv, otherwise tutabaki kama tulivyo. Politks si uwezo wa kupiga propaganda.Politks ni uwezo wa kubuni, kuuwezesha ubunifu na hatimaye kuupitisha ktk nyoyo za wananchi.Hivyo kazi hii inahitaji kwenda sambamba na cv.
CV ni mhimu sana kwanye politics kwa nchi za wenzetu ni hot cake angalia Tony Blair, Brown, Obama, Hilary etc lakini kwa bongo inaonekana kama kiini macho wapiga kura wengine hawajui hata maana ya CV.
 
Kwa staili hiyo ni ngumu kuendelea.

Politks ni kazi inayoendana na cv, otherwise tutabaki kama tulivyo. Politks si uwezo wa kupiga propaganda.Politks ni uwezo wa kubuni, kuuwezesha ubunifu na hatimaye kuupitisha ktk nyoyo za wananchi.Hivyo kazi hii inahitaji kwenda sambamba na cv.

MkapaP,

Embu elimisha hawa wenye mawazo mgando maana hawaeleni nini maana ya cv na umuhimu wake....
 
Waberoya Dont give up Tanzania itaendelezwa na watanzania wenyewe nje ya watanzania watakuwa na malengo yao

Luteni,

Kuna baadhi ya watu wamekata tamaa alafu wanataka kuwakatisha tamaa na wengine....kinachochekesha na kusikitisha bado wanakuja humu ndani ya "Jukwaa la Siasa" na kulalamika vitu visivyo na maana...wakitengemea malalamiko yao yatanyoka...ukiwaambia tunataka CV ya wagombea watu hawaoni umuhimu wake..siku jamaa akiingia madarakani na kuboronga wanaanza kulalama....
 
CV ni mhimu sana kwanye politics kwa nchi za wenzetu ni hot cake angalia Tony Blair, Brown, Obama, Hilary etc lakini kwa bongo inaonekana kama kiini macho wapiga kura wengine hawajui hata maana ya CV.

kwani walio na CV nzuri wamefanya,,,,si hao hao waliosoma kwa kodi za walala hoi,,,,si ndo hao hao walioiuza nchi na wanaoendelea kuiuza kwa wahindi, makaburu nk,,,,,,,wakina Mzee Karume hakuwa na CV nzuri lakini kwa muda mfupi aliokaa madarakani alifanya mambo ambayo mpaka leo hakuna mtawala amemfikia,,,,,kilichoandikwa kwenye makaratasi sio kigezo cha utendaji wa mtu hata kidogo......
 

kwani walio na CV nzuri wamefanya,,,,si hao hao waliosoma kwa kodi za walala hoi,,,,si ndo hao hao walioiuza nchi na wanaoendelea kuiuza kwa wahindi, makaburu nk,,,,,,,wakina Mzee Karume hakuwa na CV nzuri lakini kwa muda mfupi aliokaa madarakani alifanya mambo ambayo mpaka leo hakuna mtawala amemfikia,,,,,kilichoandikwa kwenye makaratasi sio kigezo cha utendaji wa mtu hata kidogo......

I get you mkuu but I hope you are not confusion a CV with education. A person can have a good CV without a high level of formal education. A CV simply explains what you have done until the current point. Nadhani tatizo kubwa ni kwamba wengi wanafikiri ukiomba CV unaomba simply list ya wapi mtu kasoma.

Mfano: Mzee kawawa hakuwa na elimu kubwa lakini kwenye CV yake kabla ya kuwa VP wa Tanganyika ni kwamba kwa muda mrefu alikua kiongozi kwenye trade union. Kwa hiyo kama wakati huo ingeombwa CV yake watu wangejua kuwa alikua kiongozi wa trade union na wakaangalia ni nini amefanya akiwa kwenye nafasi hiyo.
 
I get you mkuu but I hope you are not confusion a CV with education. A person can have a good CV without a high level of formal education. A CV simply explains what you have done until the current point. Nadhani tatizo kubwa ni kwamba wengi wanafikiri ukiomba CV unaomba simply list ya wapi mtu kasoma.

Mfano: Mzee kawawa hakuwa na elimu kubwa lakini kwenye CV yake kabla ya kuwa VP wa Tanganyika ni kwamba kwa muda mrefu alikua kiongozi kwenye trade union. Kwa hiyo kama wakati huo ingeombwa CV yake watu wangejua kuwa alikua kiongozi wa trade union na wakaangalia ni nini amefanya akiwa kwenye nafasi hiyo.

Mkuu
namaanisha vyote,,,,,mara nyingi kwa Bongo definition ya CV ni elimu,,,,,,,kitu ambacho tunakosea saana, refer mjadala wa Ndugu Myika kwamba alizungusha kidato cha sita nadhani ulikuwa jana ,,,,,,,,,,,na hata leo swala la Michuzi kualikwa London,,,,,wapo watu hawana elimu ya darasani lakini wana elimu ya masiha je hao wanyimwe haki ya kuwa viongozi wa wananchi kwa kuwa hawana degree? na swala la uzoefu sio kigezo hata kidogo,,,, kwani vijana kama wakina Zitto walikuwa na uzoefu walipoingia bungeni,,,, cha msingi kama mtu ameonyesha anaweza apewe nafasi
 
Should we give up and lose hope to our beloved country?
Remember winners never quit and quitters never win.

No no no no, nooo, perhaps you could have asked why we dont need to think about thiS CV this time, do you have government? do you have a country? why are you thinking of CV as if we are free!

CV ni mhimu sana kwanye politics kwa nchi za wenzetu ni hot cake angalia Tony Blair, Brown, Obama, Hilary etc lakini kwa bongo inaonekana kama kiini macho wapiga kura wengine hawajui hata maana ya CV.

Luteni huna nchi bado, huna serikali bado, huna chama, huna rais, huna chochote wewe! comparing UK and Tz is funny!

Waberoya Dont give up Tanzania itaendelezwa na watanzania wenyewe nje ya watanzania watakuwa na malengo yao

No I am not giving up, I am just rethinking what we have gained so far since we started to elect professors, Drs, Masters degree holder etc, The names mentioned above are likely to be disqualified automatically when professors and Drs are in place.

However, if you insist, the names mentioned above are qualifed only if we will assess their ability not their education background. You may likewise start to declare that ,Mkwawa, Mirambo , Rumanyika , Mputa, Kimweri , Mangi sina they wre not leaders!



Luteni,

Kuna baadhi ya watu wamekata tamaa alafu wanataka kuwakatisha tamaa na wengine....kinachochekesha na kusikitisha bado wanakuja humu ndani ya "Jukwaa la Siasa" na kulalamika vitu visivyo na maana...wakitengemea malalamiko yao yatanyoka...ukiwaambia tunataka CV ya wagombea watu hawaoni umuhimu wake..siku jamaa akiingia madarakani na kuboronga wanaanza kulalama....

Man we are not weary, except that we have different view

Unaona kama Tanzania tumeshakombolewa na nchi ya amani na kila kitu kinaenda shwari, na ndio maana katika hiyo list umeweka mpaka wana CCM kama vile tune serikali ya mseto!

Naona kama Tanzania bado haijakombolewa, tuko utumwani, hatuko huru, tunaonewa, tunauliwa, tunanyanyaswa, tunadhulumiwa...., na mwanzo wa ukombozi ni CCM itoke madarakani.... then we will start other 'thinkings'!

Samahani inawezekana wee mwana CCM at least ungeweka chama kimoja basi

halafu huyo J. Makamba ni nani? ni January Makamba au Joseph Makamba?

Haya mambo ya CV uwe mwangalifu nyo sana vijana graduate wanalia wanapoambiwa anatakiwa experience ya miaka 15! ungesema watu wajadili uwezo wao, CV siku zote ziko are flowery! iwe based on education or experience!
 
Mkuu
namaanisha vyote,,,,,mara nyingi kwa Bongo definition ya CV ni elimu,,,,,,,kitu ambacho tunakosea saana, refer mjadala wa Ndugu Myika kwamba alizungusha kidato cha sita nadhani ulikuwa jana ,,,,,,,,,,,na hata leo swala la Michuzi kualikwa London,,,,,wapo watu hawana elimu ya darasani lakini wana elimu ya masiha je hao wanyimwe haki ya kuwa viongozi wa wananchi kwa kuwa hawana degree? na swala la uzoefu sio kigezo hata kidogo,,,, kwani vijana kama wakina Zitto walikuwa na uzoefu walipoingia bungeni,,,, cha msingi kama mtu ameonyesha anaweza apewe nafasi

Ndiyo maana na mimi nika point out mkuu ili watu waelewe kuwa CV siyo elimu ya darasani tu because najua hiyo confusion ipo. About experience mkuu sidhani kama kijana ambae kafikia kugombea ubunge hana experience yoyote. Kumbuka hata kuwa headboy shule ya msingi nk pia ni a form of experience. CV ni experience sasa hauwezi kuniambia hawa vijana wana gombea ubunge kabla ya hapo walikua hawafanyi chochote. Mfano January Makamba yupo serikalini na vitu kama hivyo.
 

kwani walio na CV nzuri wamefanya,,,,si hao hao waliosoma kwa kodi za walala hoi,,,,si ndo hao hao walioiuza nchi na wanaoendelea kuiuza kwa wahindi, makaburu nk,,,,,,,wakina Mzee Karume hakuwa na CV nzuri lakini kwa muda mfupi aliokaa madarakani alifanya mambo ambayo mpaka leo hakuna mtawala amemfikia,,,,,kilichoandikwa kwenye makaratasi sio kigezo cha utendaji wa mtu hata kidogo......

Nafikiri japo sina uhakika sana
CV inajumuisha umezaliwa lini, umesoma wapi, umefanya nini,unafanya nini wapi na kwanini na lini.

Nafikiri unachoongelea nikipengele kimoja ktk cv
 
Nafikiri japo sina uhakika sana
CV inajumuisha umezaliwa lini, umesoma wapi, umefanya nini,unafanya nini wapi na kwanini na lini.

Nafikiri unachoongelea nikipengele kimoja ktk cv


Uko sahihi kabisa mkuu, 'our definition' our custom, kibuwa ni elimu. ndio maana kuna watu walikaa sijui wapi wakasema rais lazima awe na degree kuanzia moja!

Ability ya uongozi wa hawa jamaa hasa wabunge inakuwa valid zaidi kwa wahusika wanaowachagua majimboni mwao, CV siku zote zinapambwa, na utakuta kujadili hapa hakutatufikisha lengo fulani, we may end up saying they are all good! Makamba hatasahau kuweka experience yake ya Operation Zinduka (kuzuia malaria) Kumbe wizi mtupu umetokea pale

any way just a challenge!
 
Nadhani una maaanisha Personal Statemet ya wale wanataka kugombea pampja na CV. But still nadhani hizo pekee hazitoshi.
 
Back
Top Bottom