Weekend nzima simu zangu hazikuwa zinafanya kazi.........kha!

EJM_

JF-Expert Member
Jul 8, 2011
3,836
2,090
Yaani nimeishi kwa matatizo makubwa sana weekend hii maana simu zangu zote ziligoma kufanya kazi, sijui kama ilikuwa ni huko mitaa ya kwangu tu au kote! Ki modem changu nacho kikagoma kufanya kazi, nahisi nimewapa wakati mgumu sana baadhi ya watu........nisameheni bure lakini naombeni kwa heshima na taadhima muwalaumu Airtel na Vodacom kwa kuniweka nje ya mawasiliano...
 
Pole co ww tu,hata mie ivo ivo watu wanasema nilikua cpatikan wdkati cm zote zilikua on,nashukuru nilikua na wauban wangu wiki end nzima otherwise ungekuta nakabiliwa na kec nzito,polen sn wale mlonikosa hewan!
 
Yaani nimeishi kwa matatizo makubwa sana weekend hii maana simu zangu zote ziligoma kufanya kazi, sijui kama ilikuwa ni huko mitaa ya kwangu tu au kote! Ki modem changu nacho kikagoma kufanya kazi, nahisi nimewapa wakati mgumu sana baadhi ya watu........nisameheni bure lakini naombeni kwa heshima na taadhima muwalaumu Airtel na Vodacom kwa kuniweka nje ya mawasiliano...

Pole sana M'Jr vp saiv zinafanya kazi ama umeenda internet cafe????
 
Last edited by a moderator:
Yaani nimeishi kwa matatizo makubwa sana weekend hii maana simu zangu zote ziligoma kufanya kazi, sijui kama ilikuwa ni huko mitaa ya kwangu tu au kote! Ki modem changu nacho kikagoma kufanya kazi, nahisi nimewapa wakati mgumu sana baadhi ya watu........nisameheni bure lakini naombeni kwa heshima na taadhima muwalaumu Airtel na Vodacom kwa kuniweka nje ya mawasiliano...
Ni kweli mkuu,maana hutu tu-simu twa kichina tunasumbua kweli duh!yaani vinafanya kazi chini ya minala tu,ukitoka nje ya mnala imekula kwako lol!
 
Yaani nimeishi kwa matatizo makubwa sana weekend hii maana simu zangu zote ziligoma kufanya kazi, sijui kama ilikuwa ni huko mitaa ya kwangu tu au kote! Ki modem changu nacho kikagoma kufanya kazi, nahisi nimewapa wakati mgumu sana baadhi ya watu........nisameheni bure lakini naombeni kwa heshima na taadhima muwalaumu Airtel na Vodacom kwa kuniweka nje ya mawasiliano...

na we ni wa mabwepande.?? nasikia huko weekend mitandao inaenda likizo..
 
Siyo mlingotini nahisi ni kibandamaiti.

pole sana jaribu kuwasiliana na VODACOM ili upate ushahuri zaidi.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom