Khaaa!Mbona hujanijibu PM yangu Msasha?
Mimi jana nilikuona umekaa counter pale zero Pub nikaogopa kukustua.
Yule mdada ulikua umekaa naye asingeamini kama mimi ni sister wako.
Nilimuona alivyokua anamshuku Yule muhudumu(Eliza) Nikaona kama kwa Mhudumu Tu mtu anakua na wasi wasi je Mimi wa kuja ingekuaje?
Yaani alikua kama Bodyguard wako.
we mama mdogo wewe?huyo mbuzi atakuwa mwita 25 tena chuneni hadi ashangae.
huyo mbuzi atakuwa mwita 25 tena chuneni hadi ashangae.
Hapana ni yule anayewekaga fullstop kwenye post anasema. Mia