haaaaa tegeta hapana labda siku nyingine bwanaNgoja nimshawishi Bebii tukamchinjie Mbuzi kule.
Asante Vivi.
Nawatakieni weekend njema marafiki wote.
uje bwana mbuzi mkubwa ninae
Napasikia tu hata sijafika, vipi na wenyewe wako fit??mmmmmmmmmh je fyatanga ulishajaribu?
ilo jani bwana nimelimis kweli kule nndeni nilikuwa nikipewa ma meal siyapendi nakula then naenda kujitapisha nalo nimelimis kweli mtu achafui tumbo yako hvhv sema lina balaa kweli ni nomaaaaapoa basi tufanye hiyo lemon tree, ule wako uingie mitini. hiyo fine labda uje uombe na jani fulani linaitwa ''isale''
KH where have you Been. yaani nataka tu organize ka get together mimi wewe na Bebii. Nitakupigia baadae tupange.
No. yangu si unayo? siku hizi natumia ile ya voda inayoishia na 693.
u should be there banaaaaaaaaaa??????????????Usijali bebii....keep some for me...
sanaa sanaaa sema nimehama mitaa iyo siku nyingNapasikia tu hata sijafika, vipi na wenyewe wako fit??
hakikisha unakisu kikali!!nikutafute vivi kuna mbuzi naenda kuchinja mahali ana nyama za kutosha
ilo jani bwana nimelimis kweli kule nndeni nilikuwa nikipewa ma meal siyapendi nakula then naenda kujitapisha nalo nimelimis kweli mtu achafui tumbo yako hvhv sema lina balaa kweli ni nomaaaaa
ahahaaaa fb nakutegemea pale siti ya mbele na kwenye chorus papaaa ................ muzee ya bot mbuzi analia tu meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeehakikisha unakisu kikali!!
hiyo red siipati ndo nini hiyo?ha ha ha ha ha. Kumbe unalijua lile? Nilitaka nilitaka Ukamuulize asprin. Juzi tu kanikosea kaja na lile jani na Nyama iliyofungwa na majani ya migomba. ''Kisangu''
Okay utaniwekea basi naweza kuchelewa kurudi homesanaa sanaaa sema nimehama mitaa iyo siku nying
Hilo nalo jambo.Yes hii ni wiki end ya ukweli kwanza ni mwasho wa mwezi,mvua inanyesha,man u tutatoa machungu ya juzi kati,simba na yanga ndio hivyo tena,ya ni wiki end yenye raha za kutosha.
Analizo;Abiria chunga mzigo wako hali ya hewa hii wezi wengi!
Asante,vivin nawe enjoy ur wikend!