vivian
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,749
- 1,000
Naomba nichukue nafasi hii kuwatakia madadiito na mamiito wote weekend Njema.
Msinywe kupitiliza coz ni weekend ya mwisho wa mwezi.
Kuna mahafali Vyuo mbali mbali, kwahiyo kuna masherehe Mengi, so Guys take Care.
Kunyweni lakini msilewe.
Wazee wa infi, Weekend hii mtulie nyumbani kidogo angalau mcheze na watoto.
Wale washabiki wa Manu mara hii Hatuwezi fungwa tena magoli sita. kwahiyo tunaweza kufurahia mpira kwenye Big screen pale mlimani city.
Wanazi wa simba na yanga nasikia ndo hivyo tena kesho.
What a weekend!!!
ni weekend ya kipekee.
Msinywe kupitiliza coz ni weekend ya mwisho wa mwezi.
Kuna mahafali Vyuo mbali mbali, kwahiyo kuna masherehe Mengi, so Guys take Care.
Kunyweni lakini msilewe.
Wazee wa infi, Weekend hii mtulie nyumbani kidogo angalau mcheze na watoto.
Wale washabiki wa Manu mara hii Hatuwezi fungwa tena magoli sita. kwahiyo tunaweza kufurahia mpira kwenye Big screen pale mlimani city.
Wanazi wa simba na yanga nasikia ndo hivyo tena kesho.
What a weekend!!!
ni weekend ya kipekee.