NEW NOEL
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 863
- 407
Dah pamoja na mawazo mengi tuliyonayo kuhusu rushwa bungeni,kufungiwa mwanahalisi,kugombana na wake zetu,wapenzi wetu....tusahau yote hayo. Tupeane michapo ya town.
Bwana wewe kiswahili kipana.....Leo nilikuwa asubuhi,nilikuwa nasikiliza Redio one kipindi cha kumepambazuka nikasikia mwanamama mmoja anasema ''Hata mpera wanyumbani ukiiva na kutoa mapera yaliyonona uwezi ukala'' unajua maana yake.....eti maana yake ni kuwa hata dada yako awe amenona vp uwezi kumwoa.
Bwana wewe kiswahili kipana.....Leo nilikuwa asubuhi,nilikuwa nasikiliza Redio one kipindi cha kumepambazuka nikasikia mwanamama mmoja anasema ''Hata mpera wanyumbani ukiiva na kutoa mapera yaliyonona uwezi ukala'' unajua maana yake.....eti maana yake ni kuwa hata dada yako awe amenona vp uwezi kumwoa.